Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wee waache waendelee kubana hawajui kuwa vitu vidogo ndio huwa vinasababisha maandamano

Kuna nchi raia waliandamana ikapelekea rais kupinduliwa kisa tu bei ya mkate iliongezeka.
Kwasabu uchaguzi umeshaisha na raia tushakubali ss kinachofanya waendelee kubana mitandao nn au wanataka na cc wafuasi wao tuanze kuwakataa, mana cc hatunaga unafiki wa kumkubali mtu hata kama anafanya ujinga.
 
Kwasabu uchaguzi umeshaisha na raia tushakubali ss kinachofanya waendelee kubana mitandao nn au wanataka na cc wafuasi wao tuanze kuwakataa, mana cc hatunaga unafiki wa kumkubali mtu hata kama anafanya ujinga.
Nadhani bado hawajui nguvu ya wananchi hasa pale ukiwanyima huduma zao muhimu,

Internet na mitandao ya kijamii kwa sasa ni moja kati ya huduma muhimu kwa raia,

Tutaandamana kwa vitu vya msingi lakini sio eti tukaandamane kisa fulani kakosa udiwani au urais na ubunge.
 
Nadhani bado hawajui nguvu ya wananchi hasa pale ukiwanyima huduma zao muhimu,

Internet na mitandao ya kijamii kwa sasa ni moja ya huduma muhimu kwa raia,

Tutaandamana kwa vitu vya msingi lakini sio eti tukaandamane kisa fulani kakosa ubunge au urais na ubunge.
Sure, hv we unaminya internet wkt ndo maisha ya watu kwa ss je wamefikiria hilo?
 
What happened to Geza
Screenshot_2020-11-07-20-42-39.jpeg
 
Najua wajinga kama wewe hamjui sababu ya Cement kupanda mitaani mmekalia kusambaza ovyo hilo gazeti,

Kwanza cement imepanda baadhi ya sehemu na wafanyabiashara ndio wanapandisha bei mitaani wala viwanda havijapandisha bei ya cement,

Nipo kwenye kiwanda kikubwa kimojawapo cha cement na bei ya cement kiwandani haijafika hata 15,000 per bag.
 
Kajifunze demand and supply

Hii ni moja ya indicators za ukuaji wa uchumi Tanzania, pamoja na kuwa na viwanda vingi sana lakini mahitaji bado ni makubwa kupita kiasi

Nimeambiwa Nyerere hydroelectric saivi inachukua 35% ya cement yote inayozalishwa Tanzania, means inachukua demand amount ya cement yote ya Rwanda.

Dodoma pekee ina matumizi makubwa kuliko Nyerere hydroelectric project
 
JPM the genius

Kupeleka capital Dodoma ni kupanua uchumi kwenye maeneo mengi ya nchi na kuwa na scattered economy


A good move, lakini kwa opinion yangu, county government system in Tanzania can work 'magic', more than that! Serikali ya majimbo inaweza peleka Tz kwa mwendo wa kasi, yaani economy will be Turbo charged! Mtazamo wangu kutokana na vile nimeona impact yake hapa Kenya, na Tz is full of natural resources almost all around the country.
 
Kajifunze demand and supply

Hii ni moja ya indicators za ukuaji wa uchumi Tanzania, pamoja na kuwa na viwanda vingi sana lakini mahitaji bado ni makubwa kupita kiasi

Nimeambiwa Nyerere hydroelectric saivi inachukua 35% ya cement yote inayozalishwa Tanzania, means inachukua demand amount ya cement yote ya Rwanda.

Dodoma pekee ina matumizi makubwa kuliko Nyerere hydroelectric project
Kwn huyo mpuuzi hajui kama kwa ss tunajenga nchi? Mwache aropoke akija kuamka Tz ni developed country
 
Back
Top Bottom