Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha!!mambo ya hillary na kuhusu watanzania kuminywa kujieleza au kudai haki zao yanahusianaje...

Hapa tunaongelea kuhusu bongo, mtu anaweza timuliwa kazi na akrudi kulima mihogo bila hata ya kujaribu kwenda mahakamani..
Cha Mtu Mavi... Tafuta chako usiaibike

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hiyo kazi ilikuwa yako!?
Yaani nijenge kampuni mimi.. kazi ung'ang'anie wewe!?

Mimi nakutimua vizuri sana... Ila kwa makubaliano ya kutimuana tuliyojiwekea.. naweza nisipende shati lako tu na nikakutimua kampuni si ni yangu!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndio manake mnaburuzwa basi
Rais akisema hoyeee, ndio yake matatizo ya kutosoma mikataba..
Watanzania bana, huo uvivu wenu ndio unawaponza..
 
Siri kivipi na wakati biden aliposhinda tuliona watu wameingia barabarani kusherehekea matokeo..
Sasa njoo kw jiwe hata wale ccm damu walishindwa kuingia barabarani kisa policcm wasi wamistake na CHADEMA wakavunjwa miguu
Wananchi wanashangilia Matokeo yaliyotangazwa na wasimamizi wa uchaguzi.

We unataka kuandamana kupinga matokeo unatoa wapi matokeo yanayokufanya upinge!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mbona unateseka, km hataki na chake basi na mie nabaki na ujuzi wangu...
Km ananihitaji lazima mikataba tutie sahihi
Tena ya kuaminika wala sio ya kikoloni koloni
Exactly

That's our moto! Walikuja na meli huwa wanasema "Its your Loss"

Watanzania tunalijua hilo taaangu enzi. Ukinifukuza kwako fresh tu.. ili usiniingilie kwangu ...hata ungekuwa na sharubu kama kambale utakaa!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi leo hujui km serekali yenu haiwatendei haki linapokuja swala la individual..
We unafikiria ni wafanyikazi wangapi hawajilipwa mafao hko bongo..

Mwaka wa ngapi huu hakuna nyongeza za mishara lkn bado mpo kimya, kisha kinachoshngaza mishara haipandi ila kodi inapanda mara dufu hku bidhaa nazo zikipanda
Mishahara haijapanda tangu 2015
Wastaafu hawajalipwa pensheni zao Wamelipwa na wanalipwa kama kawaida
kwa kikokotoo kilichopo

Kodi ya mishahara ilipunguzwa kidogo kwa mwaka huu wa fedha ulianzia July mosi So kodi iliopanda sijaijua unzungumzia ipi...

Watumishi hawajagoma kutokana na mazingira yaliyopo...Mh alishasema ataongeza kwahyo wakaushe na asietaka kazi aache...Watu waliopata kazi sehu zenye maslahi zaidi wamesharesign siku nyingi
 
Safi sana wazo zuri, naomba ratiba ya hiyo treni kama unayo inakwenda kutoka wapi mpaka wapi ? Napajua kidogo Naiobi hivyo ningependa kujua njia inazopita, ...
images (3).jpeg
images.png
 
Exactly

That's our moto! Walikuja na meli huwa wanasema "Its your Loss"

Watanzania tunalijua hilo taaangu enzi. Ukinifukuza kwako fresh tu.. ili usiniingilie kwangu ...hata ungekuwa na sharubu kama kambale utakaa!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sisi hku tunasema usikubali kuchengwa, na ikitokea umechengwa basi na wewe mtafutie time umchenge..

Yani kwetu tunaenda kimusamusa, hamna cha kuachia kitu kiulaini..hakuna kitu eti mimi ndio nakuhitaji wewe, ila kila mtu anamhitaji mwenzie..upo?
 
Sisi hku tunasema usikubali kuchengwa, na ikitokea umechengwa basi na wewe mtafutie time umchenge..

Yani kwetu tunaenda kimusamusa, hamna cha kuachia kitu kiulaini..hakuna kitu eti mimi ndio nakuhitaji wewe, ila kila mtu anamhitaji mwenzie..upo?
Huku tunaamini kama sio chako huna sauti.
Na ukiwa na chako punda yeyote hana kelele...

I don't have to tell you that... It's obvious. Hata Uhuru knows

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom