Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

15 yrs mujenge kwa pesa zenu sio munaenda kuwakamua wakenya maskini tena kullipa wa china kwa miaka 27 tena huoni ni akili au mifupa😂😂😂
Kulipa mchina si kila mtu analipa hio ppp,you can choose to use the express way and pay or use old road where will not be charged,,that a good thing
 
kutangulia si kufika hata pipeline mlianza, jkia greenfield mlianza, likoni bridge mlianza, sgr mlianza, airline mlianza, meat export mlianza pia na sasa Tanzania inasheherekea in all these sectors! Hata maua mlianza kabla ya Ethiopia na Tanzania saahii Ethiopia imewaacha mbali! Ukiwa mzembe kama Kenya ni bora kunyamaza!
Delusions tuonyeshe mahali Ethiopia imeipiku Kenya kwenye flower exports
Acha mzaha Jkia ndio baba yao east and central Africa airports zote za Tanzania ukiunganisha bado hazifikii Jkia
Sgr yetu inafanya kazi yenu bado imekwama phase one
Air tz ambayo mkulima karibu apige auction
Ccm wamewandanganya kweli
 
Sio kweli, tulijaribu serikali za majimbo enzi za Nyerere na ikashindikana, hasara ni kubwa kuliko faida, hata Kenya huo mfumo utashindikana, na tayari athari zake zimeanza kujitokeza hapo Kenya
1)Gharama kubwa za kuendesha serikali
2)Kuchelewa katika utekekezaji wa miradi ya nchi
3)Kuwepo kwa tofauti kubwa ya maendeleo miongoni mwa majimbo
4)Kuongezeka kwa ukabila
5)Kupungua kwa mshikamano na umoja wa kitaifa
6)Kuongezeka kwa rushwa
Hapana Kenya needs true federalism true enthnic federalism
 
View attachment 1625195
Screenshot_20201113-091224.png
 
Kulipa mchina si kila mtu analipa hio ppp,you can choose to use the express way and pay or use old road where will not be charged,,that a good thing
So imagine 600ksh per car 😂😂😂 for 27yrs how do u see na ujue hapo kama hawatatimiza pesa yao ujue lazma serekali iwajibike kulipa
 
hichi kiburi chenu cha kujifanya mnajua sanaaa na greed ndicho kinachowaponza 🤦🏾‍♂️
It is just common sense or capitalism
Why grow food crops which have no economic value compared to cash crops
While you can buy food crops from Tanzania Ethiopia Uganda etc at cheaper price Kenya is 80% arid so why waste time
 
Sio kweli, tulijaribu serikali za majimbo enzi za Nyerere na ikashindikana, hasara ni kubwa kuliko faida, hata Kenya huo mfumo utashindikana, na tayari athari zake zimeanza kujitokeza hapo Kenya
1)Gharama kubwa za kuendesha serikali
2)Kuchelewa katika utekekezaji wa miradi ya nchi
3)Kuwepo kwa tofauti kubwa ya maendeleo miongoni mwa majimbo
4)Kuongezeka kwa ukabila
5)Kupungua kwa mshikamano na umoja wa kitaifa
6)Kuongezeka kwa rushwa
Take your time and google the benefits of county government system in Kenya., unaeza youtube uone massive changes across the country, the pros are more than the cons kaka., wish ingeanza wakati tulipata Uhuru 1963.
 
It is just common sense or capitalism
Why grow food crops which have no economic value compared to cash crops
While you can buy food crops from Tanzania Ethiopia Uganda etc at cheaper price Kenya is 80% arid so why waste time
Why then you can't buy food instead you depend on food donations From Arabs?. Why your People die yearly if you have money to buy from other countries?
 
Techweez


Kenya Contributes 9% of the 700k Developers in Africa​

By
Kenn Abuya
-
November 12, 2020
0


It has always been known that Africa is the next frontier of tech, with the continent registering various milestones over the last couple of years. This case has since been echoed by Google Africa, which reports that the continent is served by more than 700k developers that have significantly contributed to its internet economy.
Google Africa adds that the e-Conomy of Africa has the potential to generate $180b by 2025. This will effectively boost productivity in agriculture, healthcare, and financial services, to mention a few.
At the moment, there are 1.3 billion people in Africa, a number that might double to near 2.5 billion in 2050. So far, the region is registering notable growth in urban and mobile populations.

By 2019, up to 40% of African were reported to be digitally connected. This was a 10 percent jump that will lead to 2.5% increase in GDP per capita.
Google estimates that 45% of the African population will be living in cities by 2025.
Some of these developments have been attributed to infrastructure investments that have driven increased access to affordable and high-speed internet.
There are pro-innovator legislations, including Kenya’s Startup Act and the African Continent Free Trade Area (AfCFTA).
Also, the 700k developers are involved in e-commerce and fintech, which are marked as primary sections driving the digital economy.
Major takeaways
Digital consumption growth is accelerated by fast-growing urban and mobile populations, that have notable effects and potential to the economy. Internet penetration, for instance, has hit the 40% mark as of 2020. Increasing it further to 75% can create up to 44 million new jobs.
Secondly, the tech ecosystem is driven by dynamic developer and startup landscape. There is no denying that the continent is a cradle of some of the most talented developers and internet busines people and leaders. The 700k professional developers are also reported to be concentrated in Kenya, Egypt, Morocco, Nigeria and South Africa.
Internet infrastructure investments are also boosting connectivity. Fast connectivity has been availed to people thanks to sub-sea cable investments, as well as terrestrial fibre-optic infrastructure that has led to rapid growth in international internet capacity.
Google also says that its sub-sea cable named Equiano will be completed in 2022.
As said, regulation consistency can help bolster investments and opportunities for startups. We have since examined the Kenya case, which can be read here.
“Startup acts and regional harmonization are initiatives that are driving mutually beneficial growth. It is important for entrepreneurs, investors, and policy makers to continue dialogue, encouraging environments where digital businesses can thrive,” reads a statement from Google Africa.
Sectors leading the way in Africa’s digital transformation
  1. Fintech – ‘Startups building solutions to support the population that is financially excluded but gaining access to mobile technology. Fintech startups remain the top destination for funding, receiving 54% of all startup investment in 2019.’
  2. E-commerce – ‘Growth driven by improvement payments landscape, rise in mobile tech, and mobile money tech adoption. In 2019, $134 million in funding was attributed to e-Commerce, indicating both an increase in funding and number of deals.’

Others include health the, media and entertainment, taxi apps and logistics.
Developers: by numbers and country
CountryProfessional devs% total f Africa
South Africa120K17%
Egypt85K12%
Morocco45K7%
Nigeria85K12%
Kenya60K9%
Ghana15K2%
Rwanda5K1%
Ethiopia20K3%
Tanzania15K2%
Uganda10K2%
Ivory Coast10K2%
Rest of Africa220K32%
Total690K100%
Join us on Telegram
 
Take your time and google the benefits of county government system in Kenya., unaeza youtube uone massive changes across the country, the pros are more than the cons kaka., wish ingeanza wakati tulipata Uhuru 1963.
Sio kweli hata kidogo, kwenye youtube majority ya Kenyans interkectuals wameanza kulalamikia huu mfumo wa ugatuzi kutokana na hali ya uchumi wa Kenya sio sustainable kabisa, gharama za kuendesha serikali is unberable kwa uchumi wa Kenya 52% ya Government revenual inaenda kulipa mishahara tu, katika hiyo mishahara 72% ni politicians.

Hii system ya ugatuzi sisi tuliijaribu enzi za Nyerere na tukaona haiwezi kufanya kazi katika mazingira yetu. Kenya mkiendelea na hii system tegemeeni kukua kwa deni la taifa kwasababu pesa yenu mnayokusanya ni kwa ajili ya kulipa viongozi wenu, hakuna pesa itabaki kwa ajili ya Development projects na kutoa huduma za jamii, mtaendelea kukopa tu
 

Kenya among leading in Africa in internet users​

Kevin.n
Nov 11, 2020 4:43 PM


795c2f4ad1a745c8c57468bd7b23c54c

Kenya is one of the most technologically developed countries in Africa and probably the leader in the East Africa region where it has gone further and joined the few countries in Africa which directly apply it (technology) in governance of the country to provide best services to it's citizens (Through the Huduma number).

From the latest rankings of the top ten countries with the highest internet users done by the African Full Facts Kenya was placed in the third position, here is the list;

1. Nigeria 126.08 million internet users

2. Egypt 49.23 million internet users
3. Kenya 46.87 million internet users

4. South Africa 36.54 million internet users
5. Algeria 25.43 million internet users

6. Morocco 23.74 million internet users
7. Tanzania 23.14 million internet users

8. Ethiopia 20.51 million internet users
9. Uganda 18.50 million internet users

10. Sudan 13.50 million internet users
From this rankings Kenya has surprised Africa because it has a population of 47 million people according to the 2019 census meaning only 2.5% do not use the internet.
 
Back
Top Bottom