komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Eti wavumilieKama lipi eleza hapa ueleweke individual like what ??? Kama kura kila mmoja alipiga individual so ulitaka iweje???
nani anadai mafao yake na kama yupo taasisi husika zipo nssf zipo aende na kama wakithibitisha kweli lazima alipwe tu
hakuna miaka ambayo wastaafu wamenufaika kama awamu ya magufuli, na linapokuja swala la nyongeza mbona magufuli alieka wazi kua ataongeza lakini wamvumilie aweke mambo sawa ya kimaendeleo
kodi gani imepanda ???? Tuelezee wakat kodi zote za mazao zimefutwa haya tuambie ww kodi gani???? Nasubiria



Basi pia biadhaa aziambie zisipande zivumilie kwanza..
Alafu mbona umekua mkali, kwn kuna awamu gani inayotoza kodi lukuki km ya magu..
Hapa unabonga kumtetea jiwe ni km ywakujua..
Wastaafu walionufaika wapi hao, au unamaanisha marais wastaafu kujengewa majumba sio







