babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Noma.
Kwn uliskia maandamano ni ya eapinzani pekee, wake up mtanzagiza..Ukiwa mzururaji usie na kazi ya kufanya mbona utaandamana sana
Hta leo njoo na hela yako upimiwe ardhi mm nitakusimamiaAlafu Aunt komo democracy haipo duniani ipo mbinguni tu kaa ukijua hilo na ndiyo maana ww pia ni mkenya kama bro mashati ila mwenzako anamiliki kenya kama ardhi alizaliwa nayo vile wakati ww hata kipande cha metre sq kadhaa huna.
Eeeee!!umaskini wetu ndio unatufanya tuwahonge mabeberu ndio watupe huo uchumi wa kwenye makaratasi..Ninyi ni masikini tu hakuna utofauti na mataifa mengine kama uganda,ethiopia,sudan,ghana,congo,nigeeria n.k...labda south africa,egypt,au morocco wakisema wana uchumi mkubwa kiasi flani unaweza kuwaelewa,sio ninyi machoko*raa tu



Hahaha!!mambo ya hillary na kuhusu watanzania kuminywa kujieleza au kudai haki zao yanahusianaje...Nimekuuliza maswali matatu hujayajibu umekimbilia mipasho...
The democracy you are being fed is a myth.. kwao wana electoral college maana wanajua wapuuzi wenye mihemko ya kila namna ni wengi and often they can't be objective enough to elect a good leader..
Popular vote Hillary won against trump and twas obvious.. kwann wasiandamane!? Kitu ambacho hujui ni kuwa Tanzania is a refined Kenya...
The migration from North, west and south was concluded in Tanzania.. here we are billion years ahead of you.. we escaped wars, humiliation, bad leadership, tyrants etc . What we have made is an agreed upon remedy to all that made us run from where we were previously.
Ukitaka kujua watu wamestaarabika.. angalia wanavyodeal na issues... Ukiona ni manguvu nguvu ujue hiyo community bado iko stone age.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuhalalisha kuandamana km ni kosa jinai ndio kunifujuzaHapa ss ndipo umemkimbiza Aunt komo![]()



Siri kivipi na wakati biden aliposhinda tuliona watu wameingia barabarani kusherehekea matokeo..Hivi reasoning ya Wakenya Iko wapi!
Kura ni siri... Wewe unajuaje kuwa kura yako ndio imeshinda ..ilihali ni kura moja!?
Ukikaa katikati ya watu wengi wanawezaje kukuaminisha pasi na shaka.. kuwa wakisema wamemchagua Juma basi kweli wamemchagua Juma!?
Ukiwa unaandamana... Tukakukamata wewe peke yako... Tukakuhoji unajuaje kura ya upande wako ndio ilishinda! Utajibu nini!?
Mpiga kura hana uwezo wa kuthibitisha ushindi... Ni kazi ya mawakala wa mgombea... Kazi yetu tunakupa kura kuzilinda ni juu yako Mgombea na Mawakala wako...
Sasa mtu mwenye akili timamu ambao ndio watanzania wengi wanalijua hili. Ndio maana huwezi kutukuta tunakimbizana... Kama tunakupa kura na unashindwa task ndogo ya kulinda kura... Utaweza kulinda Mipaka ya nchi na maslahi ya watanzania!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Si huwa mnatumia US km benchmark leo unakataa.Hahaha!!mambo ya hillary na kuhusu watanzania kuminywa kujieleza au kudai haki zao yanahusianaje...
Hapa tunaongelea kuhusu bongo, mtu anaweza timuliwa kazi na akrudi kulima mihogo bila hata ya kujaribu kwenda mahakamani..
Haki gani tunayoitaka sisi??? Wakat haki za msingi tunazipata uhuru tunao amani tunayo udugu tunao,😂😂😂 na biashara zinafanyikaNadhani mtaanza kudai haki yenu ile siku mtaanza kufukuliwa nyuma..
Manake we hapo kw akili zako mishahara kuongezwa baada ya mda flani na posho za uzeeni sio haki ni kosa la jinai
Kwahyo wewe uko hapa kulazimisha WaTz waandamane au co? Uliona wapi watz wakaamini wapinzani?Kuhalalisha kuandamana km ni kosa jinai ndio kunifujuza![]()
Uingie barabarani ufanye nn kwan ww kondoo?? Kama umeshindwa unatuliza kibuyu na walioshinda pia maisha yanaendelea, wananchi wanataka maendeleo sio ushindi tu 😀😀😀Siri kivipi na wakati biden aliposhinda tuliona watu wameingia barabarani kusherehekea matokeo..
Sasa njoo kw jiwe hata wale ccm damu walishindwa kuingia barabarani kisa policcm wasi wamistake na CHADEMA wakavunjwa miguu
Ukiingia barabarani nje ya sheria lazma sheria ikuadhibu tu ndio maana sheria ni msumenoSiri kivipi na wakati biden aliposhinda tuliona watu wameingia barabarani kusherehekea matokeo..
Sasa njoo kw jiwe hata wale ccm damu walishindwa kuingia barabarani kisa policcm wasi wamistake na CHADEMA wakavunjwa miguu
Hii ndio haki mlionayo nyinyi 👇👇Hahaha!!mambo ya hillary na kuhusu watanzania kuminywa kujieleza au kudai haki zao yanahusianaje...
Hapa tunaongelea kuhusu bongo, mtu anaweza timuliwa kazi na akrudi kulima mihogo bila hata ya kujaribu kwenda mahakamani..
Anashangaza sana uyu demu yn tng asubuhi amekazania kulazimisha watu waandamane ili nasisi tuharibu nchi yetu km wao, umoja wetu ulijengwa kwa gharama kubwa hakuna fala yeyote atajaribu kuuharibu, WaTz kwetu uchaguzi ni kitu kidogo sana hatuwezi kupoteza amani yetu kwa kitu cha cku mbili.Uingie barabarani ufanye nn kwan ww kondoo?? Kama umeshindwa unatuliza kibuyu na walioshinda pia maisha yanaendelea, wananchi wanataka maendeleo sio ushindi tu![]()
kwa vile nyinyi mumezoea fujo na vita basi munataka hayo mazoea kila mmoja awe nayo

yn tuchague viongozi alafu tuwakatae ss hyo itakuwa akili au tope? Yani tumewachagua cc wenyewe kwa wingi wetu alafu leo tena tuandamane hivi unajisikia lkn ww


Hawa ndio jubilee kazi yao hii ndio haki za watoto kenya👇👇👇👇Siri kivipi na wakati biden aliposhinda tuliona watu wameingia barabarani kusherehekea matokeo..
Sasa njoo kw jiwe hata wale ccm damu walishindwa kuingia barabarani kisa policcm wasi wamistake na CHADEMA wakavunjwa miguu
Hapo kuna watanzania wenzako ujueHawa ndio jubilee kazi yao hii ndio haki za watoto kenya
Hawa wanatamani kuona ile miradi inavurugika kwasababu kinachowaumiza zaidi ni miradi ya kimkakati amabayo imeshamiri kwa nguvu zote na kibaya zaidi kwao kwann tumeweza within short period of time wao hawakuweza😂😂😂Anashangaza sana uyu demu yn tng asubuhi amekazania kulazimisha watu waandamane ili nasisi tuharibu nchi yetu km wao, umoja wetu ulijengwa kwa gharama kubwa hakuna fala yeyote atajaribu kuuharibu, WaTz kwetu uchaguzi ni kitu kidogo sana hatuwezi kupoteza amani yetu kwa kitu cha cku mbili.
Alafu kwnn tuandamane, kisa nn ss wkt viongozi tumewachagua cc wenyeweyn tuchague viongozi alafu tuwakatae ss hyo itakuwa akili au tope? Yani tumewachagua cc wenyewe kwa wingi wetu alafu leo tena tuandamane hivi unajisikia lkn ww
![]()
Uhehehehhehheheh nioneshe niwaone 😂😂Hapo kuna watanzania wenzako ujue
Point yangu mnaielewa lkn bado mnajitoa ufahamau, kifupi tanzania hufai kuandamana kudai haki yako..Uingie barabarani ufanye nn kwan ww kondoo?? Kama umeshindwa unatuliza kibuyu na walioshinda pia maisha yanaendelea, wananchi wanataka maendeleo sio ushindi tu![]()
kwa vile nyinyi mumezoea fujo na vita basi munataka hayo mazoea kila mmoja awe nayo