komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Bwahahaa!!kwn maandano ni kwa ajili ya uchaguzi ya uchaguzi pekeeake..yale yapo kikatiba na unafuata kanuni na kuingia barabarani kudai haki yako...Anashangaza sana uyu demu yn tng asubuhi amekazania kulazimisha watu waandamane ili nasisi tuharibu nchi yetu km wao, umoja wetu ulijengwa kwa gharama kubwa hakuna fala yeyote atajaribu kuuharibu, WaTz kwetu uchaguzi ni kitu kidogo sana hatuwezi kupoteza amani yetu kwa kitu cha cku mbili.
Alafu kwnn tuandamane, kisa nn ss wkt viongozi tumewachagua cc wenyeweyn tuchague viongozi alafu tuwakatae ss hyo itakuwa akili au tope? Yani tumewachagua cc wenyewe kwa wingi wetu alafu leo tena tuandamane hivi unajisikia lkn ww
![]()
Tatizo north korea wa upande wa south kudai haki yako ni kosa la jinai



