komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Geza banaKwa mgao ulioko Kunyaland kununua tesla ni kiji-shoot own foot!
Geza banaKwa mgao ulioko Kunyaland kununua tesla ni kiji-shoot own foot!
Duh!!biden katisha walai, yani jamaa alikua nyuma na zaidi ya kura laki km nne hvi..[emoji122][emoji122][emoji122]
Sasa wapi uliona nabisha jomba, nlikua najaribu kumuelewesha huyo mjinga baada ya kutaka ku tafsiri hilo neno km lilivyo tayari..Acha ubishi, neno kubanduliwa na kupeleka chaka yote ni maneno ya mtaani au semi za mitaani, na baada ya muda hua zinaadiwa kwenye kamusi na kuwa official kama whatevs lilivokua added kwenye oxford 2019
Inakaa Trump atapigwa gap ya 100+ electoral votes!
Jamani, hahaha!!
Ni kwa kuwa kutokana na corona, kura nyingi zilitumwa kwa kutumia posta, hivyo bado wanazingojea, pia kuna zile za wanajeshi zinazotoka nje ya nchi.Wamarekani na technology yote waliyonayo bado wanachukua siku 4 kuhesabu kura
Yani ww kitu unaweza nikuropoka kama mwenda wazim, ivi ww hujuagi hata kufanya tafiti zaidi domooo akiliz mzigoThank you for exposing your ignorance, your country is too poor! Watu ni fukara wa kiaina, elfu kumi eti ni pesa mingi kwa wengi wenu, cost of living is low in poorer countries like yours, thus cheap things[emoji23][emoji23](vuka border ingia Uganda same case, cheaper things, Malawi,Zambia etc[emoji23][emoji23]) nenda marekani ama Morocco, SA your heaven[emoji50][emoji23] linganisha bei ya bidhaa, hiyo elfu kumi yako uone itakufikisha wapi[emoji23][emoji23] only poor countries in war like crisis kama akina Somalia, CAR, Chad, S.sudan etc na zenye extreme political crisis na economic colapse kama akina Zimbabwe utapata several basic stuff expensive![emoji23] Hampendi ukweli povu ruksa, mtamwaga hadi basi, facts wont change, extreme poverty cases in Tz kwa sasa zimeongezeka hadi mmeipiku Ethiopia hauoni ni aibu bro?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] endelea tu na domo domo raiya wakiendelea kudorora., hapa ni bidii ya mtu binafsi itamkomboa hakuna eti ni Tz ama Ke.[emoji23][emoji23]
Stand ya kimataifa ya mabus dar es salaam mambo yamenoga View attachment 1620909
Huyu jamaa kawaingiza chaka vibaya sana[emoji23][emoji23]Yani ww kitu unaweza nikuropoka kama mwenda wazim, ivi ww hujuagi hata kufanya tafiti zaidi domooo akiliz mzigo
Tafsiri ya kwanini bidhaa za Tz ni bei raisi sababu many of those goods zina zalishwa ndani ya nchi, pia kwa zile final goods cost of production iko chini kwa asilimia kubwa kuanzia umeme na vingine kitu kinach influence resonable price pia stiff compition kwa bidha za kilimo.
Ni mjinga tu kama ww ndio unaweza fananisha bei za bidhaa marecan na Africa alafu ukitegemea ziwe bei zaidi kama cyo wehu, Ivi unajua bei ya umeme Amerca ni kiasigani ukilinganisha na iyo failed state yenu?[emoji116]
Una vitu vingi vya kujifuza zaidi ya kupiga domo , ww uliwai sikia wapi Tz watu wanakufa na njaa? Nyie makapuru wengine mpka wanapika mawe kule turkana hali ni ya hatari uko kunipigia story za umaskini poor youView attachment 1620939
Naona piers zimekamilika na wameanza kulaza slabs!Mambo ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 1620949View attachment 1620951
Hivi hapa ndivyo vitu vya operation. Nitajie jina la bunduki hizo
View attachment 1620738View attachment 1620739View attachment 1620740
Ilo sio kazi yangu nimewaletea alicho toa ndug yenu so ka deal nae sio unilete mm...ila kilicho wazi ni kenya electric fee per unit is much higher compared to Tz .Huyu jamaa kawaingiza chaka vibaya sana[emoji23][emoji23]
Fanyeni utafiti kwanza before muende katika hizi blog uchwara, na hili ndio tatizo lenu kubwa..
Yani jamaa ukipata unachukua unapost tu bila ya hata kujifanyia research..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1620967
Kazi inafanyik na itashika kasi zaid wakimaliz izo pillars.... kazi ya slubs ndio itashika moto zaidiNaona piers zimekamilika na wameanza kulaza slabs!
Kwani huoni slabs (sio slubs) kwenye hiyo nguzo? Washaanza kutandika slabs!Kazi inafanyik na itashika kasi zaid wakimaliz izo pillars.... kazi ya slubs ndio itashika moto zaidi