President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,013
- 93,380
Uchafu au rubbishCBD to Westlands overpass work has started
View attachment 1621237View attachment 1621238View attachment 1621239View attachment 1621240
Uchafu au rubbishCBD to Westlands overpass work has started
View attachment 1621237View attachment 1621238View attachment 1621239View attachment 1621240
Sasa hivi umejua maana halisi ya neno kuingizwa chaka,ukitaka kujua maana ya neno kubanduliwa njoo dm mremboHuyu jamaa kawaingiza chaka vibaya sana[emoji23][emoji23]
Fanyeni utafiti kwanza before muende katika hizi blog uchwara, na hili ndio tatizo lenu kubwa..
Yani jamaa ukipata unachukua unapost tu bila ya hata kujifanyia research..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1620967
Kwhyo hamtumii neno kunyanduliwa tanzania[emoji23][emoji23]Sasa hivi umejua maana halisi ya neno kuingizwa chaka,ukitaka kujua maana ya neno kubanduliwa njoo dm mrembo
Kumbuka pia wakat bus zinaingia mjin zinakuwa upande wa stand kitu kitakacho saidia sn kweny kuchepuka bila kuleta msongamanoNdio kwa alfajiri na kuanzia jioni kwa sababu option za mabasi kuingia highway zitakuwa mbili kupitia kwa yusufu na kupitia njia panda ya kuelekea goba ambapo hizo njia zote bado zinatengenezwa
Unacheka gari wa watu wa kawaida? Wewe pesa yako umeitoa kwa wazazi wako. Haujaitolea jasho kama watu wengine.Ila nyinyi mumezidi aisee hata kama ni punda musisahau punda anakufa pia😂😂
Lack of planning ndio imesababisha daraja hilo kuvunjwa. Mjifunze kuplan kwanza kabla ya kukurupuka.Hapo anaposema tony daraja linavunjwa kukikamilika kenyan watakuwa wanakuja kufanya utalii ma kupigia picha.
Hili jitu limetokea wapi? Linaitwaje? Litakuwa na urefu wa mita ngapi?
Mijitu ina wivu na roho mbaya sana hii, inaomba hata mradi uiairishwe kesho ili tunafanane nao. Wakenya watu wabaya sanaHapo anaposema tony daraja linavunjwa kukikamilika kenyan watakuwa wanakuja kufanya utalii ma kupigia picha.
Inakuhusu nini wewe choko?Lack of planning ndio imesababisha daraja hilo kuvunjwa. Mjifunze kuplan kwanza kabla ya kukurupuka.
Unawazimu wa kichwa ww nani alikwambia pesa yangu nimetoa kwa wazaz wangu kwanza unanichukuliaje mm ??Unacheka gari wa watu wa kawaida? Wewe pesa yako umeitoa kwa wazazi wako. Haujaitolea jasho kama watu wengine.
Hii ndio stendi ya mabasi?Washaanza kuweka vioo, huu mzgo unakamilika kabla ya Nov 30View attachment 1621426
Aisee stendi hii ni nzuri kuliko uwanja wa ndege wa Jomo kenyattaHii ndio stendi ya mabasi?