Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapa nafsi imeridhika ila Trump atakubali sasa?🤨.. huyu jamaa anaweza dictator huyu
IMG_1604655462.066959.jpg
 
Sasa ndio nakwambia ukwel
Acha ubishi, neno kubanduliwa na kupeleka chaka yote ni maneno ya mtaani au semi za mitaani, na baada ya muda hua zinaadiwa kwenye kamusi na kuwa official kama whatevs lilivokua added kwenye oxford 2019
 
...wakati mwingine inabidi niwe mchokozi kama wewe ulivyo😂😂😂 samahani kama nimekuharibia siku bro, but Africa is mostly like that, a rich continent with big poor populace. Ukombozi ni mtu binafsi tusidanganyane😂😂😂
Huwez niharibia siku manake nakujua vzr sana 😂😂😂😂😂
 
hapa nafsi imeridhika ila Trump atakubali sasa?🤨.. huyu jamaa anaweza dictator huyu
View attachment 1620713
Kuna sehemu nimepita kweny mtandao mmja wa wamarekani wanalalamika wanasesema georgia 1% counting imekua kama 50% yani toka imefika 99% mpka saivi ni masaa kibao kwaiyo wanasema trump kazurumiwa hapo.
Wanasubir biden aongoze ndo wamalize.
 
Hapo pa kuijinka kidogo umezuga , emu fafanua vizuri huenda ukaeleweka

Kiswahili ni kujifunza na kukiishi.
Najaribu kukueleza kwa kugha ya picha na fasihi huelewi.
Kubanduliwa maana yake ni kuliwa nyuma.
Jifunzeni kiswahili na ukuaji wake. Kuna watu wanaeweza wasisikilize taarifa zenu.
Kuinjika/kuevika kinyume chake kuevua/kuepua! Haihusiani na kubanduliwa.
 
Back
Top Bottom