Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ndio niona slabs , nilicho sema speed itaongezek pale pillars sote zikikamilik , hope tumelewanaKwani huoni slabs (sio slubs) kwenye hiyo nguzo? Washaanza kutandika slabs!
Ndio niona slabs , nilicho sema speed itaongezek pale pillars sote zikikamilik , hope tumelewanaKwani huoni slabs (sio slubs) kwenye hiyo nguzo? Washaanza kutandika slabs!
Nadhani by June 2021 tutaanza kuona baadhi ya sections piers zimeunganishwa kwa slabs na cables!Ndio niona slabs , nilicho sema speed itaongezek pale pillars sote zikikamilik , hope tumelewana
Kwani huo mradi uko projected kukamilika mwaka gan?Nadhani by June 2021 tutaanza kuona baadhi ya sections piers zimeunganishwa kwa slabs na cables!
True..Nadhani by June 2021 tutaanza kuona baadhi ya sections piers zimeunganishwa kwa slabs na cables!
Mwakani mwezi wa 10Kwani huo mradi uko projected kukamilika mwaka gan?
Makasiriko peleka Chato.Meanwhile in NaiKwaiyo hizi gari zote huku Bongo ni Mali ya Kiambu Mafia sio?
Hahaha!!we kakojoe ulale tu[emoji23][emoji23]Ilo sio kazi yangu nimewaletea alicho toa ndug yenu so ka deal nae sio unilete mm...ila kilicho wazi ni kenya electric fee per unit is much higher compared to Tz .
Unapenda sna kukojoa sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha!!we kakojoe ulale tu[emoji23][emoji23]
Nimetoka huko naona wanaongelea upuzi ...tumazee hata msisumbuke comment humu [emoji23][emoji23].. eti kwa uchunguzi wake [emoji2363][emoji23]
Daraja la SGR la Tanzania labomolewa Daraja la SGR la Tanzania labomolewa
Nimepita Jana happy majengo watamaliza before nov30 ila labda wataanza kutumia huku wanajenga darajaStand ya kimataifa ya mabus dar es salaam mambo yamenoga View attachment 1620909
Ni kweli....nahisi watakuwa wanaingilia kwa kule nyuma wakati uku mbele kunaendelea na ujenziNimepita Jana happy majengo watamaliza before nov30 ila labda wataanza kutumia huku wanajenga daraja
Watasababisha foleni tu manaake hiyo njia itabidi itumike kwa magari kuingia na kutoka pia alafu ni ndogoNi kweli....nahisi watakuwa wanaingilia kwa kule nyuma wakati uku mbele kunaendelea na ujenzi
kwani hujui pale kuna high way ya njia nane na imesha pita ...iyo foleni labda afajir ...na huwa asubhui hakuna magari mengi so kwakutumia kama contingency plan kwa sasa sio mbayaWatasababisha foleni tu manaake hiyo njia itabidi itumike kwa magari kuingia na kutoka pia alafu ni ndogo
Ndio kwa alfajiri na kuanzia jioni kwa sababu option za mabasi kuingia highway zitakuwa mbili kupitia kwa yusufu na kupitia njia panda ya kuelekea goba ambapo hizo njia zote bado zinatengenezwakwani hujui pale kuna high way ya njia nane na imesha pita ...iyo foleni labda afajir ...na huwa asubhui hakuna magari mengi so kwakutumia kama contingency plan kwa sasa sio mbaya