mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
Wenzako wanazitilia hela we endelea kubweka mtandaoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Kanunue benz na kimshahara wenzako wananua probox na ni wafanyibiashara wakubwa..hapo zuka ni nani..
mnajaza vipanya town foreni isiyotatulika,kwa akili zako unadhani huku gari za biashara hazipo!!!!
kama unataka gari ya biashara zipo kibao ila sio kubaka matumizi gari isiyo sahihi.