Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hospitality-12.jpg
 
When he was impeached! Kwa Kiswahili nikubanduliwa! Alibanduliwa but Senate ili muokoa.
Kiswahili hujui.
Kubandua ni kinyume cha kubandika au kuinjika.

Kwenye vitendo kuna: kutenda, kutendeka, kutendewa, kutendwa, kutendeana, kutendewatendewa nk.
Neno kubanduliwa limetokana na kubandua. Kwahiyo ni kutendewa.

Sasa niambie huyo Trump alikuwa amebandikwa wapi mpaka anabanduliwa!?
 
Kiswahili hujui.
Kubandua ni kinyume cha kubandika au kuinjika.

Kwenye vitendo kuna: kutenda, kutendeka, kutendewa, kutendwa, kutendeana, kutendewatendewa nk.
Neno kubanduliwa limetokana na kubandua. Kwahiyo ni kutendewa.

Sasa niambie huyo Trump alikuwa amebandikwa wapi mpaka anabanduliwa!?
😀 Mkuu umetoa boko kwenye neno kuinjika, ni tofauti sana na bandika.
Vingekua sawa tungesema bandua chungu jikoni 😀
 
When he was impeached! Kwa Kiswahili nikubanduliwa! Alibanduliwa but Senate ili muokoa.
Impeach is kuenguliwa in Kiswahili banduliwa comes from bandua there has to be a glue to detach 2 stuffs! Kwa mfano picha inabanduliwa toka ukutani ilipobandikwa!

For the case of Trump there is no glue attached to his butt and Presidency for him kubanduliwa!
 
Kiswahili hujui.
Kubandua ni kinyume cha kubandika au kuinjika.

Kwenye vitendo kuna: kutenda, kutendeka, kutendewa, kutendwa, kutendeana, kutendewatendewa nk.
Neno kubanduliwa limetokana na kubandua. Kwahiyo ni kutendewa.

Sasa niambie huyo Trump alikuwa amebandikwa wapi mpaka anabanduliwa!?
Unapoambiwa "umeingizwa chaka" huaga watu wanamaanisha nn au watu hupelekwa vichakani[emoji848]
 
Kiswahili hujui.
Kubandua ni kinyume cha kubandika au kuinjika.

Kwenye vitendo kuna: kutenda, kutendeka, kutendewa, kutendwa, kutendeana, kutendewatendewa nk.
Neno kubanduliwa limetokana na kubandua. Kwahiyo ni kutendewa.

Sasa niambie huyo Trump alikuwa amebandikwa wapi mpaka anabanduliwa!?
Hapo pa kuijinka kidogo umezuga , emu fafanua vizuri huenda ukaeleweka
 
Hapo pa kuijinka kidogo umezuga , emu fafanua vizuri huenda ukaeleweka
Kiswahili ni kujifunza na kukiishi.
Najaribu kukueleza kwa kugha ya picha na fasihi huelewi.
Kubanduliwa maana yake ni kuliwa nyuma.
Jifunzeni kiswahili na ukuaji wake. Kuna watu wanaeweza wasisikilize taarifa zenu.
 
Kuna Nahau, Misemo, Methali, tamathali za semi na Vitendawili.

Hebu niambie neno kubanduliwa limetumika kama nini!!?
Maana kwa lugha ya vificho kubanduliwa maana yake ni kufirrrwa matak0ni
"Kunyanduliwa" wala sio kubanduliwa
Na hilo ni neno la sheng tanzania mnalitumia tu
 
Kuna Nahau, Misemo, Methali, tamathali za semi na Vitendawili.

Hebu niambie neno kubanduliwa limetumika kama nini!!?
Maana kwa lugha ya vificho kubanduliwa maana yake ni kufirrrwa matak0ni
Sasa hata hilo neno kw trump halihitaji direct translation jomba
 
Back
Top Bottom