Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

muulize Robert Amsterdam akwambie usaliti ninini

ivi unaijua Belgium katika ulimwengu huu wa ubepari?

Tanzania nizaidi ya uijuavyo broh
Sasa mimi mambo ya belgium yananihusu nini??

Au uyo amsterdam ananihusu nini?

By the way mimi ni mdau mkubwa wa ubepari,. Na sipendi kabisa mambo ya democracy ila nachukia zaidi unafki ku act kama mnademocracy wakati mnapigana tu na kuuana kipindi cha uchaguzi..

Tuachane na haya mambo uchaguzi ushapita na hapa sio mahala pake. Hapa ni nairobi vs dar es salaam.
 
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.
Hahahaha kwa hiyo unataka kusema Lisu ni popular kumzidi Lowassa? Em Tumia akili kidogo

Lisu mwenyewe alijua hashindi ndio maana hata hiyo press yake jana alikua relaxed kabisa as usual, Magufuli kushinda kwa 90% wala sio ajabu kabisa na haitokaa iwe ajabu
 
Mkuu mm naelewa kabisa unachomaanisha kwmb co kuwa hujapendezwa Magu kushinda ila unataka japo kuwe na upinzani bungeni lkn Geza ukweli ni kwamba upinzani wa Tz hauna maana yoyote mana wameweka mbele matumbo yao, hebu angalia mtu km zito ni mbunge wa Kigoma mjini lkn asilimia kubwa maisha yake ni Dar.

Hivyo hivyo profesa jay, Mbowe, Sugu na pia hata wengi wa wabunge wa ccm, ilikuwa kwamba ubunge ni pesa lkn co kupambania wananchi, so hiki kitu Magu amekuwa akikipinga sn hivyo basi kwa sababu hizo wananchi wameona ni bora kumpa Magu wabunge wa chama chake ili awanyooshe vzr, and trust me Geza wabunge wa ss watabadilika sn na Magu anaenda kuonesha thamani ya mwananchi na anakwenda kubadili kabisa taswira hasi kuhusu ubunge na baada ya miaka hii mitano sidhani km ubunge utakuwa ni kitu cha kukimbilia we ngj uone.
Hakuna kabisa upinzani Tanzania me mwenyewe nimefrahi sana

Wapinzani wanashangilia ndege zetu kukamatwa, wapinzani wanashangilia Corona ikiua watu, wapinzani wanaomba madaraja yavunjike?

Upinzani wa kipumbavu kabisa, zitto wa zamani kabla ya act ndio alikua mpinzani.
 
Hahahaha kwa kweli tu, sababu naona vihoja hapa kwamba kuna watu kabisa walitegemea mtu fulani angeshinda, haya ni maajabu ya dunia.
Mimi hata sikuwa nataka Lissu ashinde...Ila kwa upande wa wabunge...Watu wengi wanalalamikia juu ya wabunge....Usipoliona ilo utakuwa na matatizo..
 
Number nakupatia
Hiyo dawa inaitwaje na kama hutojali naomba muongozo wa kumpata huyo mganga tafadhari kuna mtu anatusumbua nyumbani kwa ajili ya pombe. Kesha lidhia tukipata dawa ya kumfanya aache pombe yuko tiari kwa lolote. Tafadhari mkuu
 
Huyu Robert anajulikana kwa kuangusha tawala nyingi duniani...Ndo aliangusha utawala wa Venzuela....Napia anataka kuangusha utawala wa Russia wa Vladmir Putin...
Sio rahisi ivyo mzee!!! Tusi wategemee hawa watu kufanya mabadiliko. Mabadiliko yao hayaji bure lazima kuwe na costs.

tupambane tumuombe magu kabla hajatoka ikulu abadilishe katiba bila ivyo siku tutajuta zaidi ya ivi.
 
Mimi
Mimi hata sikuwa nataka Lissu ashinde...Ila kwa upande wa wabunge...Watu wengi wanalalamikia juu ya wabunge....Usipoliona ilo utakuwa na matatizo..
Sina mapenzi na mbunge yeyote ila kitendo cha wabunge wote wa upinzani kupigwa chini nimeona dhahiri kuna mchozo mchafu sana sina tatizo na kiti cha uraisi japo napo asilimia zimeongezwa. Ila angeshinda tu japo sio kwa asilimia izo.
 
huyu kaishiwa na hzi ni technics za upinzani ila hazina ukweli nilkua leo nasikiza TBC jamaa akielezea anakwambia kwa awamu hii ilikua ni ngumu sana kuiba kura kaelezea vzr sana na ukiangalia ni kweli kwasababu na mm pia nimepiga kura nimeona
Hawa jamaa walijua hawawezi kushinda, wakajiandaa na vimbwaga vya hapa na pale ili kuchafua uchaguzi,
Corona yenyewe ilikimbia itakuwa hawa walioikimbia corona. 🙈 😝
 
Mimi

Sina mapenzi na mbunge yeyote ila kitendo cha wabunge wote wa upinzani kupigwa chini nimeona dhahiri kuna mchozo mchafu sana sina tatizo na kiti cha uraisi japo napo asilimia zimeongezwa. Ila angeshinda tu japo sio kwa asilimia izo.
Wewe ulitaka asilimia ngapi
 
Mm nilikuwepo ktk kuhesabu kura ilikuwa wazi kabisa hakuna wizi wwte, ktk maeneo mengi mambo yalikuwa wazi kabisa, huenda ccm pia walijiandaa kwa njia yoyote lkn wakashangaa kuona wananchi walijiandaa kuangusha upinzani kuliko ccm.
Uchaguzi hauanzi wakati wa kampeni, uchaguzi ulianza kwenye kujiandikisha wengi walidharau, ccm walihimiza wanachama wao kujiandikisha.
Chadema kama kawaida yao wakafurahia watu kutojiandikisha, sasa unategemea nani akupigie kura? 🤣
 
Back
Top Bottom