Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kweli ni malofa kama kura zinakamatwa af aliekamatwa nazo hayupo yani walizikamata zikielea hewani
aliekamatwa nazo yuko wapi?
What's going on dsh
Me mwenyewe nilikua na mawazo haya haya na tayari nimecoment hivi hivi kabla ya kusoma hii reply yako 😁😁

Angalau tupo wenye upeo wa kuhoji hivi, chadema walichoma office yao wenyewe Arusha ili kutengeneza picture kwamba ni serikali

Thanks to technology Mazungumzo yao yote ya mipango yote ilikua tapped and investigated saivi wapo behind bars, sasa watashindwaje kuphotocopy zile specimens walizopewa last week ili kutafuta hii huruma?
 
Achana naye huyo jamaa ni Mkenya/Mjaluo hivyo hana mapenzi yoyote na Tanzania yetu, ukimuona hapa alikuwa anawanga Wakenya ni kwa sababu ya Raila, siyo kwamba hapendi Kenya kwao, bali ni kwa sababu wa Ujaluo wake hawapendi Wakikuyu, lkn ni Mkenya 100% umeona sasa makucha yake, next time kuweni waangalifu sana na watu wenye ndimi mbili, he is a two faced nigga, ...
Hahahaha mkuu umenichekesha sana lakini pia hili nimelibeba kwa uzito unaostahiki pia
 
Huyo aliekamatwa na hizo kura yupo wapi? Hata zile waliokua wakizichoma haonekani aliekamatwa nazo, Hakuna red-handed evidence at all

Ni hivi tu inaibuka wanazichoma na kura zenyewe hata 100 haifiki, wakati mtu kapitwa kwa kura zaidi ya laki na 20 😁😁😁
😀 Unamkamata mtu halafu unachoma ushahidi
 
Someone comes to his senses after seeing the just concluded elections in Tanzania


before he was doing this
 
angalieni! hawa ndo walitaka tuwape nchi? what is this now??


Japo server za fichuaTanzania zipo Kenya sasa hapa unabisha bila kuleta evidence kinzani? tukuelewe vp? leta evidence kwamba si jeshi letu, ukiwalaumu tu hao jamaa walio-post husaidii kutoa ukweli mzee!

Na hii?
 
Ha kumbe na Mombasa ina sharks naona hapa bottom left baada ya daraja!
ElU8Ff4XYAASfjW
 
Japo server za fichuaTanzania zipo Kenya sasa hapa unabisha bila kuleta evidence kinzani? tukuelewe vp? leta evidence kwamba si jeshi letu, ukiwalaumu tu hao jamaa walio-post husaidii kutoa ukweli mzee!

Na hii?


tatizo lako mbishi.. hio video niliwahi kuona kitambo.. huyo mtu alifumaniwaga!
tuseme umeshinda..
 
Kama Magufuli kaiba kura angedakwa na malori ya kura, huwezi kuniaminisha eti mtu anapitwa kwa kura kwa malaki, a nakuja na kaushahidi cha kura 20 never, ni mbinu ipi imetumika kupitisha kura zingine kwa maelfu imebumba kwenye hizo kura 20?

Na kama ndio walikua wakiingiza kura kidogo kidogo hivyo, wangekamata maelfu ya watu
zuzu wewe, njaa inakusumbua
 
Ccm huwa wanavitengenezea umaarufu vyama vya upinzani kwa maslahi yao
Mfano miaka ya 95 TLP & NRA vilikuwa na nguvu sana, ghafla zikapotea,
Wakaja CUF nao wakapotea,
Saivi yupo chadema na kuna Kila dalili ATC wazalendo kinaandaliwa kuja kuwa chama kikuu cha upinzani na CCM. Upo wapi umaarufu wa mrema, upo wapi umaarufu wa lipumba wa 2005, silaa alipoteaje 2015?, miaka hii mitano ijayo hamtamsikia lissu, ATC kimeanza juzi tu ila saiv more popular hadi wamepata kiti cha mbunge, wananchi mnaweza kuwa serious na upinzani ila wapinzani hawapo serious na upinzani, wanayumbishwa na CCM, hawana maamuzi wala msimamo, wanajaziwa makachezo na vibaraka wa CCM kwenye vyama vyao mfano katibu mkuu wa chadema aliunga juhudi yani katibu mkuu ambae anajua vitu vingi vya chama, wengine tushaga achana na siasa za upinzani toka 2015 pale ambapo waliokuwa wanasema fisadi mkubwa ila wakabadili na kumpa ridhaa ya kugombea urais.
 
tatizo lako mbishi.. hio video niliwahi kuona kitambo.. huyo mtu alifumaniwaga!
tuseme umeshinda..
mbona hukuongelea hilo? Take example upo mahakamani unamtetea mteja evidence hiyo imetolewa ukimjibu judge tatizo mimi ni mbishi nikiwa natetea na mie mteja wangu unadhani unashinda kesi? Mimi sijawahi kuiona hii video na japokuwa sijasema hiyo video ni legit ila siwezi kui-crash right away na kuidharau nikijua kuna vurugu za hapa na pale na watu zaidi ya 40 wamekamatwa!
 
Back
Top Bottom