Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm nilikuwepo ktk kuhesabu kura ilikuwa wazi kabisa hakuna wizi wwte, ktk maeneo mengi mambo yalikuwa wazi kabisa, huenda ccm pia walijiandaa kwa njia yoyote lkn wakashangaa kuona wananchi walijiandaa kuangusha upinzani kuliko ccm.

 
utakuja kuelewa subiri kwanza kuna vitu vingi sana havikuwa sawa


geza mm nakukatalia kwa asilimia 100 nimekua mhudhuriaji sana wakupiga kura ila awamu hii upigaji kura ulikua very open na hata uhesabu wa kura ulikua open eti wanazusha mawakala waliotolewa huo ni uongo mkubwa sana hakuna wakala alietolewa wa chama pinzani na sahihi zao zipo kila kituo hata kabla ya kufungu sanduku halifunguliwi mpaka mawakala wote wawepo na kukubali na wanasaini mm nimeshuhudia kwa macho yangu
 
GEZA huyu Ansbert Ngurumo hupost video, picha zisizo na uhalisia. Yuko Twitter na blog yake ya Sauti Kubwa.


Mimi nipo Twitter pia na Acc yangu ni: @KipepeComrade.

Hao ni wasambaza propaganda, huwezi chukua video zao kama reference. Wakati wa Corona Walipost video za mji was Ecuador na kusema ni Dar es salaam.
Geza anafeli
 
Geza anafeli

Sina uzalendo wa kifalafala niko kusimamia fair play! Ushindi wa mazabe na kura za maharuani si huka yangu! Kuna habari vijana wengi chini ya miaka 35 wameshindwa kupiga kura kwavile majina yao hayajaonekana pia wasimamizi wengi wa vituo vya kura wa upinzani kuenguliwa!

 
Sina uzalendo wa kifalafala niko kusimamia fair play! Ushindi wa mazabe na kura za maharuabi si huka yangu! Kuna habari vijana wengi chini ya miaka 35 wameshindwa kupiga kura kwavile majina yao hayajaonekana pia wasimamizi wengi wa vituo vya kura wa upinzani kuenguliwa!


na kuna vijana wengi sana hawakupiga kura wakat majina yao yalikuwepo vituo vya kupiga kura, na miaka yote vijana sio wapigaji kura hili hata usishangae
 
Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine na hufanya makosa pia.

He's not perfect at all, itoshe kusema ameharibu huu uchaguzi 100% kwa tamaa yake ya kushinda kwa kishindo. Haya sasa alitaka Bunge liwe CCM tupu + madiwani amepata, haya tuone Maendeleo sasa.
LOL yaani unamdai Magufuli maendeleo?

Ni sawa na kudai TBL beer 😁😁
 
Geza buana
Kumbe na wewe unaweza kuwaza hivi?

Achana naye huyo jamaa ni Mkenya/Mjaluo hivyo hana mapenzi yoyote na Tanzania yetu, ukimuona hapa alikuwa anawanga Wakenya ni kwa sababu ya Raila, siyo kwamba hapendi Kenya kwao, bali ni kwa sababu ya Ujaluo wake hawapendi Wakikuyu, lkn ni Mkenya 100% umeona sasa makucha yake, next time kuweni waangalifu sana na watu wenye ndimi mbili, he is a two faced nigga, ...
 
na kuna vijana wengi sana hawakupiga kura wakat majina yao yalikuwepo vituo vya kupiga kura, na miaka yote vijana sio wapigaji kura hili hata usishangae
pia kuna janga ya ku-switch majina na vituo ushenzi huo haukufanyika Dar as such nenda mikoani uambiwe!
 
Me naamini magufuli angeshinda bila haya mabegi ya kura.

Ila sielewi ni nini mantiki ya ushindi wa kishindo unaotafutwa??

Nandhani huu ni upinzani dhaifu zaidi kuwahi kutokea.
Kama Magufuli kaiba kura angedakwa na malori ya kura, huwezi kuniaminisha eti mtu anapitwa kwa kura kwa malaki, a nakuja na kaushahidi cha kura 20 never, ni mbinu ipi imetumika kupitisha kura zingine kwa maelfu imebumba kwenye hizo kura 20?

Na kama ndio walikua wakiingiza kura kidogo kidogo hivyo, wangekamata maelfu ya watu
 
Back
Top Bottom