Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,745
Mm nilikuwepo ktk kuhesabu kura ilikuwa wazi kabisa hakuna wizi wwte, ktk maeneo mengi mambo yalikuwa wazi kabisa, huenda ccm pia walijiandaa kwa njia yoyote lkn wakashangaa kuona wananchi walijiandaa kuangusha upinzani kuliko ccm.