Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na anachowachanganya ccm walaji ni kwamba hayo yaliyo kwenye manifesto anayafanya kweli tofauti na kipindi kile unakuta kilichoandikwa kwenye ilani hakifanyiki japo kwa asilimia 30 lkn huyo mzee atahakikisha hyo ilani japo asilimia zaidi ya 80 anaitekeleza na hyo ndiyo tofauti.
Iliyoishia 2020 katekeleza kwa 31%,hiyo 80% itatoka wapi? muwe mnafuatilia mambo sio kuhemka tu,uongo + ufisadi ndio roho ya maccm..tukutane oktoba
 
Hili linawezekana tu kama wataacha miradi yao ya tembo mweupe ya sgr,stiglaz ,mindege ,masteni nk la sivyo hii ni ndoto maana toka Magu adanganye kuunganisha nchiyote kwa lami hadi leo hii hakuna cha maana kimefanywa na mbaya zaidi hatumchagui
Yanawezekana mengi yamefanyika ila kama haujaona basi tafuta kazi ingine ufanye
 
Hili linawezekana tu kama wataacha miradi yao ya tembo mweupe ya sgr,stiglaz ,mindege ,masteni nk la sivyo hii ni ndoto maana toka Magu adanganye kuunganisha nchiyote kwa lami hadi leo hii hakuna cha maana kimefanywa na mbaya zaidi hatumchagui
Ndege hazijanunuliwa?SGR haijengwi?JNHED haiejengwi?Do you know what is tembo mweupe???
 
EhZW9f9XgAERJDZ



 
Hio ndio Mbeya 😳 😳 😳 😳 Uswazi culture is very deeply rooted. Yani vibanda kila kona!!!!
Ndg zangu swala la mpangilio wa makazi ni tusimlaumu magufuli ni la miaka mingi kuanzia miaka ya tisini, kwa kweli kama kuna kitu awamu zilizopita hasa ya pili tatu na nne ni kushindwa kuwa na mpango mzuri wa makazi, na inasikitisha kuona kuwa hii idara ya mipango miji ilikuwepo. Binafsi sijaona umuhimu wa uwepo wao wanalipwa pesa ya uma alafu mini yetu inakuwa iswahili mtupu.
 
huyu jamaa sijui yupo sayari gani!! unaota kweli, watu kama ww hamfai kabisa kwenye shughuli zozote zile za maendeleo mnakosa uzalendo kabisa na kurudisha sana watu nyuma yani ww huoni jema lolote lile umekalia ubaya ubaya tu na chuki za ajabu au sababu kubwa kibarua chko hicho cha mbao kimeota nyasi? kama ni hvyo basi nikuhabarishe kuwa hakuna mtu aliokuwa hakuyumba kiuchumi kwenye awamu hii kwa njia moja ama nyengine ila angalau mambo mengi yanafanyika sana tu na yanaonekana ila ww unajifanya kipofu kabisa, kama ni vitani basi ww utakuwa umefanya "Mutiny" na ni wakupigwa risasi tu..... shwaainnnn🤬😡😡
Ukiangalia vizuri unaweza kukuta ni @Rizi Rizla!
 
Hili linawezekana tu kama wataacha miradi yao ya tembo mweupe ya sgr,stiglaz ,mindege ,masteni nk la sivyo hii ni ndoto maana toka Magu adanganye kuunganisha nchiyote kwa lami hadi leo hii hakuna cha maana kimefanywa na mbaya zaidi hatumchagui
alaf wakiacha waje kukulisha ww bwana mkubwa 😂😂 yani aache miradi ya kizazi na kizazi aangalie tumbo lako ww, ww kama biashara yako ya mbao imetumbuliwa tulia bana hilo dinvi lisitoke kwanzap
 
Hili linawezekana tu kama wataacha miradi yao ya tembo mweupe ya sgr,stiglaz ,mindege ,masteni nk la sivyo hii ni ndoto maana toka Magu adanganye kuunganisha nchiyote kwa lami hadi leo hii hakuna cha maana kimefanywa na mbaya zaidi hatumchagui
Acha ujinga wewe
 
Back
Top Bottom