Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ama wacha nikusaidie,
Kati ya hzo pichwa umeleta nakujisifia ya kwamba ndio suburb kubwa mwanza..
Ni gani hapo[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1610020View attachment 1610021
vp hiii ukikumbuka au??😂😂😂👇👇
A27B57E0-DE4D-42D1-AD85-F09C1F31AFAC.jpeg
 
sina muda wakubishana na mpuuzi

u mean this or???[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
unataka jina la hii au???
na siku utapata suburb kubwa kama hii mombasa mm nafunga acc jamii forun mark my words
View attachment 1610188View attachment 1610189View attachment 1610190View attachment 1610191View attachment 1610192View attachment 1610193View attachment 1610194View attachment 1610195View attachment 1610196
kumbe umetumana picha za mitaa yote mwanza hakuna estates za upper class hko[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake naona nyumba za kawaida tu

Kati ya hzo ni gani unaikubali tuishindanishe na mtaa wa kawaida tu mombasa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa hiv mambo yamebadilika pia.

Bukoba airport ipo Kati ya top five domestic airport na routes Kwa Tanzania.

Tazama hapaView attachment 1610146View attachment 1610147View attachment 1610148View attachment 1610149View attachment 1610150
Top five airport inaweza kuwa kwa uzuri! Uki-rank hiyo list kwa number of passengers, utaona haipo na usilazimishe mambo kwa mwaka 2019 Bukoba Airport imepokea PAX 53,000 check facts! Hata kwa viwanja vya ndani (local) Bukoba ipo nyuma ya Mwanza, Arusha, Pemba na Dodoma! BTW sina uhakika kama Air Tanzania inaenda Bukoba daily!

  1. JNIA
  2. AAKIA
  3. KIA
  4. Mwanza
  5. Arusha
  6. Pemba
  7. Dodoma
  8. Bukoba
 
Magufuli ni mwizi
Wakenya mnahangaika sana haitowasaidia kamwe,dah kweli Magu
Cheka tu 😂😂😂 ila saa hii wembe ni Ule Ule
Wanajeshi wa magufuli wanachinjwa na Magaidi wa msumbuji duh 😂😂😂😂
Mnaficha habari munadhani dunia haitajua 😂😂😂😂

Hahahaha😂😂😂😂 hamuezi kubali najua hivyo wakati mwingine magaidi wakibisha tena mufiche habari vizuri 😂😂😂
Utaiombea sana mabaya Tanzania,unaonekana moyo unavyokuuma sana ,hiki ni kitu kidogo sana watu wanatafuta mbinu za kuleta tension na kuwajazia uwoga wananchi wa Tanzania kitu ambacho wamefeli,sisi tuko na amani yetu nenda Mtwara hata sasa hivi, nobody even cares,laiti kama ingekuwa serious ungeona midege ya kivita ya kutosha tu pia na vishindo vya mabomu kusini huko,hali ni shwari nchini kwetu Tunamshukuru Mola kwa hili,poleni majirani uchaguzi hauko mbali nyie huwa hamchelewi kuzichapa wenyewe kwa wenyewe dhambi ya ukabila Kuna pahali jeshi la Kenya ndani ya Kenya huwa halitii mguu....Nenda huko kaskazini,huo ni udhaifu mkubwa sana. Amiri Jeshi mkuu wetu hawezi kukubali ujinga kama huo.Sijutii kuwa Mtanzania the Eden,Nchi yangu nakupenda sana
 
Back
Top Bottom