Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeona hii [emoji116] ? 2026 inafunguliwa nothing is impossible Kwa hawa jamaa pretty soon tutaskia Beijing-Tokyo bridge!

Yaani sisi tunapigana kujenga barabara zetu zenye vumbi you hao uko walishatoka wanapita chini kwa chini baharini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna wazushi wanajenga elevated highway km 11tu washaanza kusema watakua level moja na hao jamaa...

cc wakenya aliewaloga alikua fundi
 
Yaani sisi tunapigana kujenga barabara zetu zenye vumbi you hao uko walishatoka wanapita chini kwa chini baharini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna wazushi wanajenga elevated highway km 11tu washaanza kusema watakua level moja na hao jamaa...

cc wakenya aliewaloga alikua fundi
Mchina keshawapiga!
 
Hizi ni njama za manguruwe ya west ili Magu asiende kupiga kampeni Kusini, we unafikiri raia wa hayo maeneo watauaje watu wa jamii yao? Walijaribu kwenye mapango Tanga wakapukutishwa, wakajaribu pwani wakapotezwa na hapo wamechokoza. Usisahau kuwa inapokuja swala la ground force tuko vizuri kuliko hata wanavyoturate.
Jana niliona vikosi vya wazee vikipita pale Tazara vinaelekea kusini nadhani ndiyo wanaenda kumaliza mchezo na hutasikia choko choko [emoji3][emoji3][emoji3]
 
kumbe umetumana picha za mitaa yote mwanza hakuna estates za upper class hko[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake naona nyumba za kawaida tu

Kati ya hzo ni gani unaikubali tuishindanishe na mtaa wa kawaida tu mombasa[emoji23][emoji23][emoji23]
so tumemaliza kwneye suburb tayar😂😂😂😂
 
Unafikiria nairobi ni km dar eti ukitoka CBD ni unakatiza uswazi[emoji23][emoji23]
nairobi ya 3km all the way 😂😂😂😂
A7B7D74B-B1F4-4A39-91AB-406CED761B00.jpeg
EA4C7673-B7F4-4900-8A4E-3C187C64DECE.jpeg
BA51D16A-1294-4BBD-8CD7-062D0259853E.jpeg
C5D21F2F-ACAD-43C3-851C-23908E503915.jpeg
1BD9A4A4-E6B2-4C83-99C9-E652E4AA6091.jpeg
48331E0F-3543-4505-B7E0-05F3984C4122.jpeg
F965D852-CB4E-48C5-8ECE-091256B69FD3.jpeg
 
Bigger kisumu slum and highest notch poverty, mud houses and iron sheets cages are rampant here at the middle of the 'city'

Sijawahi kuona mud houses na nyumba za bati katikati ya JIJI lolote Tanzania

 
Back
Top Bottom