Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani sisi tunapigana kujenga barabara zetu zenye vumbi you hao uko walishatoka wanapita chini kwa chini baharini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna wazushi wanajenga elevated highway km 11tu washaanza kusema watakua level moja na hao jamaa...

cc wakenya aliewaloga alikua fundi
Inawezekana wameambiwa ni first class elevated highway
 
so tumemaliza kwneye suburb tayar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Residential area hyo tena ya kawaida sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Vile vipicha vinaingia mara kadhaa hapo
images.jpeg-22.jpg
 
Huwa mnasema kenya hakuna treni ya umeme haya hiyo apo muongee ss[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1603553191490.jpeg
 
Hahahaaa [emoji117][emoji117][emoji86][emoji85][emoji87][emoji90][emoji90][emoji205]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom