Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwan hujui corona imeharibu uchumi wa dunia au unataka tufundishane mbona unakua kama bogus
Wallah? Sikutambua TZ imeathirika na janga hili kwa vile mlivyoturingia jinsi hamna corona. Jinsi uchumi wenu utaipiku ya Kenya kisa athari za corona. Doooh, kwa hivyo mmeathirika? Aisee JF rahaa, silipiii Netflix 😹
 
Poverty-stricken Kenya
2595484_196F5AAB-1FD6-4F5B-92EF-D62F293F83B7.jpeg
Screenshot_20200813-071858~2.png
 
"Ngoja wajisifu vile wako na mabilionea wengi, ilhali asilimia 70% ya nchi ni maskini. Hiyo 28 million (~46%) ni wale maskini wa kutupwa, ongeza wale wanaoishi chini ya $1.90 kwa siku inafika asilimia 70% ya Watanzania.
Vile nawajua hawa watu, ni uvivu wa kutegemea serikali ifanye kila kitu ndiyo imewafikisha hapa. Mtanzania wa kawaida siyo mtu wa kujituma ama mwenye bidii. Yeye ni angoje apate muhogo na maharage tosha." Kevin85ify

😹😹😹

CC: MATAGA Naton Jr Geza Ulole ichoboy01

Kwaherini
 
Wahurumie ti
"Ngoja wajisifu vile wako na mabilionea wengi, ilhali asilimia 70% ya nchi ni maskini. Hiyo 28 million (~46%) ni wale maskini wa kutupwa, ongeza wale wanaoishi chini ya $1.90 kwa siku inafika asilimia 70% ya Watanzania.
Vile nawajua hawa watu, ni uvivu wa kutegemea serikali ifanye kila kitu ndiyo imewafikisha hapa. Mtanzania wa kawaida siyo mtu wa kujituma ama mwenye bidii. Yeye ni angoje apate muhogo na maharage tosha." Kevin85ify

😹😹😹

CC: MATAGA Naton Jr Geza Ulole ichoboy01

Kwaherini
Wahurumie tu sikupenda kwao it's just inborn(ujinga)
Screenshot_20201018-173224_1603193769600.jpg
😂😂
 
Back
Top Bottom