Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Mbona wakenya ni wapumbavu sana, utalii umeanguka kwa 30% zikiwa ni moja ya Corona effects.Nilidhani Mataga waliwika humu eti TZ hakuna Corona.
Tanzania yakopa zaidi ya bilioni 100 kupambana na Covid
dooh Geza Ulole ichoboy01 Ntaghacha kulikoni tena?

