Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu tumekubaliana wenzetu tuwashike mkono.. wanakuwa bored mpaka hawashiriki kikao chetu..

So.in the spirit of friendship leo Mombasa, Ruaka na Kiazi zinashindanishwa na Tabora, Sumbawanga , Moshi, Niombe na Songea. Please let's show love

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Typo.

Kiambu * sio Kiazi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
hakuna corona
Screenshot_20201019-224637.jpg
 
Nani alikuambia nina shida ya kazi wewe mbumbumbu? Kumbe huwa unanifuatilia sana sikujua aise..

Sasa kuanzia leo usifanye tena hivyo.
Sikia ww mpumbavu sita kuquote tena mana naona ntakupa umaarufu ila ukitaka battle na mm ur welcome, ntakuonesha kwmb mm nilishindikana kitambo fala ww, unaleta ukabila au cyo ss twende na mm pyumbu we.
 
Anything outside Dar looks like an old big market! Zimechakaa na kuchoka kishenzi😂😂😂😂 what is wrong with Tz! Nothing modern!😂😂😂😂😂 Tz ni Dar tu! Hiyo pekee ndio mujigambe nayo zingine balaa u cannot dare do a drone ju ni aibu tupu 😂😂😂 residentials? ? Za kishamba ni kibao 😂😂😂 mko down deadly!
 
Mwendo Atcl tu cku hz hakuna cha precision cz tunajua hawa wapuuzi wana share kule
Inaitwa roho mbaya na wivu, ndio maana laana ya kutosonga mbele licha ya rasilmali imewafunga😂😂😂, nikupumbazwa ilhali no meaningful change kwa raiya wa kawaida kamwe! 😂😂😂😂 wengi wamezubaa tu in Dar, pepo mbaya ishindwe!!😂😂😂
 
Hii mm ndiyo thread yng yn nilifungua accnt jf kwa ajili ya hii thread na ilinichukua mda mrefu kuwa member wa jf japo nilikuwa sichangii hapo mwanzo nilikuwa naivutia kasi hii thread.

Yn mm nipo radhi jf nisiingie thread yoyote zaidi ya hii ss ikitokea kuna koro ananizingua ni bora nile ban ww mpuuzi Ollachuga Oc be care nakwambia I know you very well so be care *** u.
 
Anything outside Dar looks like an old big market! Zimechakaa na kuchoka kishenzi😂😂😂😂 what is wrong with Tz! Nothing modern!😂😂😂😂😂 Tz ni Dar tu! Hiyo pekee ndio mujigambe nayo zingine balaa u cannot dare do a drone ju ni aibu tupu 😂😂😂 residentials? ? Za kishamba ni kibao 😂😂😂 mko down deadly!
Na hakika katika miji mikubwa mizuri top 10 EAC, kenya itaingia 3 wakati tz inaingia 5 au zaidi huku uganda na rwanda mmja mmja.

1.Dar es salaam
2.Nairobi
3.kigali
4.kampala
5.zanzibar
6.mombasa
7.mwanza
8.Arusha
9.Kisumu
10.Mbeya.
 
Na hakika katika miji mikubwa mizuri top 10 EAC, kenya itaingia 3 wakati tz inaingia 5 au zaidi huku uganda na rwanda mmja mmja.

1.Dar es salaam
2.Nairobi
3.kigali
4.kampala
5.zanzibar
6.mombasa
7.mwanza
8.Arusha
9.Kisumu
10.Mbeya.
Ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom