Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa watu wamegeuzwa mapopoma na Jubilee sasa wamekua concord wanafikiri wanaweza kumgeuza mtanzania awe ndondocha kama wao 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Hahahaha ama kweli leo nimeamini 😁😁😁

Wanapika utopolo wao wanafikiri kila mtu ni kichwa maji
Awajui JF is the home of great thinkers..🤣🤣🤣
 
so from 2017 to 2019 mumejenga another 11000km 😂😂😂😂😂
wakat toka munapata uhuru 1960s mapaka 2017 mumejenga 11000km over 50 yrs leo miaka mitatu mushajenga 11000km 😂😂😂 mwenyewe unajiona bright
Kama wao kwa wao wanadanganyana itakuwaje kwa mbongo...??🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20201014-235526_Twitter.jpg
    Screenshot_20201014-235526_Twitter.jpg
    144.1 KB · Views: 4
Back
Top Bottom