Kenyan police vs Tanzanian airforce [emoji28][emoji1787][emoji1787]selfown . Low iq moron .Kenya vs Tanzania [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1600560View attachment 1600561
ongeza na hii bro😂😂👇👇The one and only biggest stadium in East and Central of Africa Benjamin Mkapa Stadium (BMS)[emoji116][emoji116][emoji116][emoji3]View attachment 1600533
Hahahaha verified 😁😁😁😁Tweet[emoji23][emoji23][emoji23]
Na za aiportsKajumlisha na kilometer za SGR....🤣🤣🤣
Hahahaha data kuwa ya 2009 sio tatizo, tatizo imetolewa na vilaza wa Jubilee 😁😁😁😁😁Wewe huoni hiyo data ya 2009? Ama akili ndio huna?
Hahahaha English hujui bro, Soma na kapekue kwenye dictionary nini maana ya '....... As of 2017' 😁😁😁😁😁Mbaya zaidi hiyo tweet inaongelea road network ya 2009. 🤣 🤣 🤣
Hahahaha liangalie hili lipuuzi yaani kwa miaka miwili mmejenga kilometers 4000 za lami? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣2017 tulikuwa na 17,000km of paved roads, 2018 tulifika 18,000km and in 2019 tukawa na 21,000km. Huo ndio ukweli ucheke ulie 🤣 🤣 🤣 👇
View attachment 1600322
mm usisahau kunitag tu ndio muhimu😂😂Hahahaha liangalie hili lipuuzi yaani kwa miaka miwili mmejenga kilometers 4000 za lami? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi unajua kilometers 100 za lami zinachukua miaka mitatu mpaka minne kukamilika?
Sasa Lete tenders zote za hii miaka miwili miliojenga kilometers 4000 hapa 🤣🤣🤣🤣
Usifikiri unaongea na misukule ya Jubilee hapa
Ili kukamilisha kilometers 4k za lami kwa miaka miwili inakuhitaji angalau kuwa na makampuni sio chini ya 40 ya ujenzi ambayo yamegawana vipande vidogo vidogo ili kazi iishe haraka 🤣🤣🤣🤣
Lete hiyo mikataba 40 ya ujenzi mliosaini 2017 hapa 🤣🤣🤣