Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚ 2017 muna 11000km alaf ghfla 2019 21000km with economy of 4.6%πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… aisee kazi ipo


Endelea kutuonyesha data za 2009. Vitu kwa ground viko hiviπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
So mlitumia 50yrs kujenga 11k mkiwa na serikali imara zen mkatumia only 10yrs kujenga 11k zingine mkiwa na serikali ombaomba, duuhh hii ya leo kali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tafuta msemo wako wa kutokea huo tayari ni wa ichoboy
 
sina muda wakukushughulikia ikiwa huoni hata link hapo imekua attachedπŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡


Link ya 2009? Umeangalia hiyo article ukajua hata title yake imeandikwa aje? 🀣 🀣 🀣
 
Back
Top Bottom