Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha in short hali halisi ni hii
Screenshot_20200624-143329~2.png
 
Wapika data utawajua tu, 🤣🤣🤣🤣 hawawezi kusema exactly ni kilometers ngapi, eti wanasema kwa percentage, tena wanatoa data za kipumbavu sana eti good, fair, poor

Huu utaratibu wa kuhesabu kilometres za lami kwa percentage upo Kenya tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Asante kwa kugundua kuwa screenshot ya huyo mwenzako ni fake.
 
Mbona pia kw urefu wa pila hujasema, manake kw render hamjasema..
Mchina ameshawaona nyinyi mapimbi...Unapo ona pillar ya flyover imekuwa ndefu Sana jua Kuna intersection inataka kuivuka...Ndo maana nikasema haitokuwa na more than 3 kms..🤣🤣🤣
 
Uhuru na Jubilee inawalokota anafikiri na sisi atatulokota kama maembe, eti anasema kwenye international roads wana kilometers 40000 wakati Hakuna barabara ya lami ya kwenda Sudan, Somalia, counties zao 80% hazijaungwa kwa lami halafu kwenye utopolo wao inaonesha wana trunk roads 5k kilometres na 4k kilometers za national roads

Huu si utopolo jamani

Ukweli mchungu huu hapa View attachment 1599882
County zetu ni 47 tutajie county kumi ambazo hazijaungwa na lami
 
Back
Top Bottom