Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ucafu iko dar pia. Sio nairobi peke
Busy dar salaam street roads

1602635243201.png
 
Ni tanzania unaweza enda dar mbeya zaidi ya Kilomita 800 za lami.dar arusha 600km.
dar dodoma 425 Km za lami.hizo 21000 Km ni za hapo hapo Nairobi tu? yaani njia nne zimezidishwa mara nne nne au?mbona hazifiki popote.
TZ mfano dar Moro ni njia mbili ya Km 199.sisi tinasema ni km 199 bila kujali ubungo mbezi pana njia nne kwenu mngesema 398Km +.
Sikuwa najua aloo, huwa najiuliza mbn Tz ina mtandao mkubwa sn wa paved road ukanda huu cz Tz ni kubwa mara mbili ya kenya na barabara kubwa mikoa yote ni lami ss hawa wanawezaje kuthubutu kusema wanazd Tz kwa paved road kumbe wanahesabu mpk lane [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sikuwa najua aloo, huwa najiuliza mbn Tz ina mtandao mkubwa sn wa paved road ukanda huu cz Tz ni kubwa mara mbili ya kenya na barabara kubwa mikoa yote ni lami ss hawa wanawezaje kuthubutu kusema wanazd Tz kwa paved road kumbe wanahesabu mpk lane [emoji3][emoji3][emoji3]
Kujipa moyo wakati unajua ni utoto uko na mwingi,,Kenya baba lao
 
Back
Top Bottom