Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe ulishamsoma hata wewe, niliona umlimfanyia sana katika sekta ya barabara mpka akaanza ku post vitu havielewi..
Yani ywaruka ruk km malaya bikra vile
Huyo najua vizuri sana, yeye na ichoboy01 ujinga zao ukiweka kwa kilo zinatoshana 😂 😂 😂
 
Kumbe ulishamsoma hata wewe, niliona umlimfanyia sana katika sekta ya barabara mpka akaanza ku post vitu havielewi..
Yani ywaruka ruk km malaya bikra vile
Hahahaaa alikimbia jana uyo ngoma ilienda mpk saa7 akatii amri.
 
Kenya has a road network of about 177,800 km out of which only 63,575 km is classified.
Wewe wacha ushamba. Wachana na mambo ya "classified". Wewe tuambie nyie mna lami kilomita ngapi? Sisi tuna 21,000 km. Nyie yenu ni ngapi?
 
achana nao hawa bro akili hakuna kichwani😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁 Uhuru na Jubilee inawalokota anafikiri na sisi atatulokota kama maembe, eti anasema kwenye international roads wana kilometers 40000 wakati Hakuna barabara ya lami ya kwenda Sudan, Somalia, counties zao 80% hazijaungwa kwa lami halafu kwenye utopolo wao inaonesha wana trunk roads 5k kilometres na 4k kilometers za national roads

Huu si utopolo jamani 😁😁😁😁

Ukweli mchungu huu hapa
Screenshot_20201014-134821~2.png
 
Nimeshampa ukweli na orodha za barabara zote zilizopo Kenya hapo, yeye analeta mpaka Unclassified roads, barabara za kwenye mashamba ya Chai na kahawa za vumbi zipo included 😁😁😁😁

Ukweli wote upo hapa na kila barabara ya Kenya ina jina, kama ana ubavu tuanze kuzitaja barabara moja baada ya nyingine kama huo ubavu anao 😁😁😁

View attachment 1599867
Nyie mna lami kilomita ngapi? Weka ushahidi. Wacha maneno mengi
 
Kwani mimi nimchawi ndio nikae macho mpaka saa saba? Mbona leo asubuhi Ulikimbia ukaanza kuokota picha za kitambo ?
Kwahyo kumbe nilikuwa nakuharibia mipango yako ya kuwanga ndio maana ukaamua kukimbia kwenda kuwajambia jambia wenzako [emoji3][emoji3][emoji3]
 
😁😁😁😁 Uhuru na Jubilee inawalokota anafikiri na sisi atatulokota kama maembe, eti anasema kwenye international roads wana kilometers 40000 wakati Hakuna barabara ya lami ya kwenda Sudan, Somalia, counties zao 80% hazijaungwa kwa lami halafu kwenye utopolo wao inaonesha wana trunk roads 5k kilometres na 4k kilometers za national roads

Huu si utopolo jamani 😁😁😁😁

Ukweli mchungu huu hapa View attachment 1599882
Ukweli ya Wikipedia? 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom