President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,013
- 93,380
West zoneAlafu ni kama umekuwa admire wake, kwani jamaa ni guy au nini?🤣🤣🤣
Only 44% are good
West zoneAlafu ni kama umekuwa admire wake, kwani jamaa ni guy au nini?🤣🤣🤣
So siku hizi Wikipedia huwa inatupea mikopo? 🤣 🤣 🤣, 😁😁😁😁 reference zote zimetoka kwa wanaowapa mikopo ya kujenga hizo barabara
Sio unatuletea brochures za Jubilee sisi, wapelekee kondoo za Jubilee sio sisi tena ukome 😁😁😁😁
Subiri dawa ikuingie usikimbieWewe jamaa kwani uchoki?🤣🤣🤣🤣Haya nenda ukatafute mwaka ya hiyo screenshot na link alafu urudi tuendelee.
Tena umeachana na ye KENHA ?🤣🤣🤣 Hata hii utaachana tu nayo, leta link kwanza.
Dawa gani? Dawa za data za 2010?Subiri dawa ikuingie usikimbie
Pwahahaha!!!
Hahaha. Hata mimi sielewi bana.Alafu ni kama umekuwa admire wake, kwani jamaa ni guy au nini?🤣🤣🤣
good yaan short n ckear na ataje kilomita...[emoji3][emoji3]Tutajie bara bara mdefu nje ya nairob inayounganisha county moja na nyengine
Hamjawahi kuwa na barabara zaidi ya hiziSo siku hizi Wikipedia huwa inatupea mikopo? 🤣 🤣 🤣
Pwahahaha naona dawa imeanza kukuingia. So kenya road board inaikacha tena. Nitakuaibisha weweTena umeachana na ye KENHA ?🤣🤣🤣 Hata hii utaachana tu nayo, leta link kwanza.
Hizo ni data za Dec 2019Dawa gani? Dawa za data za 2010?
Wewe ndio unajiaibisha juu umetafuta sites kama zote na hupati kitu 🤣 🤣Pwahahaha naona dawa imeanza kukuingia. So kenya road board inaikacha tena. Nitakuaibisha wewe
Leta link tuoneHizo ni data za Dec 2019
Average of 45% are in good conditionWewe ndio unajiaibisha juu umetafuta sites kama zote na hupati kitu 🤣 🤣
Mimi siyo mbabaishaji kama we weLeta link tuone
Wapika data utawajua tu, 🤣🤣🤣🤣 hawawezi kusema exactly ni kilometers ngapi, eti wanasema kwa percentage, tena wanatoa data za kipumbavu sana eti good, fair, poor
Hawa jamaa wapuuzi sana.Wapika data utawajua tu, 🤣🤣🤣🤣 hawawezi kusema exactly ni kilometers ngapi, eti wanasema kwa percentage, tena wanatoa data za kipumbavu sana eti good, fair, poor
Huu utaratibu wa kuhesabu kilometres za lami kwa percentage upo Kenya tu 🤣🤣🤣🤣🤣