komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hyo ni dongo kundu ya wapi



Hyo ni dongo kundu ya wapi



Ulimi huo soon unakua km hapo chini km kawaida yenu


Jamaa wanarudia rudia like daraja lao la pale ubungo angle tofauti tofauti
Hakuna barabara Tanzania, what they have ni examples of roads.Jamaa wanarudia rudia like daraja lao la pale ubungo angle tofauti tofauti
Unajua kilichofanya hyo place kuvunjika au ubapost tu
Hyo ni ajaliNakwambia wacha ujinga
Dongo Kundu bypass damaged, vandalised after crash involving truck
It shows how low quality your roads are.View attachment 1599242




umeamua kuwa mpumbavu nawe?Nairobi from satellite
View attachment 1599669
Kwenye swala la barabara Kenya kaaeni Kimia...Upele umepata mkunaji huku Tanzania...Kila Kona ya nchi Ni ujenzi wa Barabara...Natukimaliza kampeni kazi kubwa atakayo kuwa Magufuli Ni kuzindua Miradi Mipya na ambayo iliokamilika...Tulieni sindano ziwaingie..Another huge road coming up, this is western bypass. Expressway na hii zitashikana so that when you finished enjoying the comfort of expressway unaland kwa western bypass.
View attachment 1599670View attachment 1599671
unajua hiyo barabara ina miaka mingapi?
Ulimi huo



Umechemka kijana unalialia sanaHakuna barabara Tanzania, what they have ni examples of roads.
Ameanza kuweweseka tayariNaona wewe ushaanza kulemewa. I have my order of posting my images, we tulia uchungulie venye wenzako wanchungulia


Barabara zimeishaaa



Umepanic mpaka waziita za mkoloni, kweli leo umebanwa ndanda lakoWw nimekwambia uweke road mpya umekosa ngj mm niendelee, hii ya saba mpya naweka humu ww umekazana na roads za mkoloniView attachment 1599328
Tanzania, 12,000km za lami.Kwenye swala la barabara Kenya kaaeni Kimia...Upele umepata mkunaji huku Tanzania...Kila Kona ya nchi Ni ujenzi wa Barabara...Natukimaliza kampeni kazi kubwa atakayo kuwa Magufuli Ni kuzindua Miradi Mipya na ambayo iliokamilika...Tulieni sindano ziwaingie..