Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Considering the location of the space (close to Kariakoo and CBD) hapo inahitajika kujengwa park yenye ubora maana watu wengi wanahitaji eneo la mapumziko. Pia wanaweza kuweka creative attractions kwenye hiyo park pamoja na fountains. Wajifunze kutoka kwa Millenium Park in Chicago!Mi ningekuwa kwenye madaraka ningeondoa hizi nyumba zoote hapa kati kuanzia Mnazi mmoja hospital´, Anatoglo mpaka ile supermarketya BAKWATA, Mnazi mmoja primary school, mahakama pia!