Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona
mumeamua kurudia sasa. Hizi picha zishaekwa hapa mara ishirini.
Hii hapa ni Athi River
2520814_Screenshot_20200914-080731.png
 
no quality hapo camera imewatoa haibu....hiyo njia nimrpita zaidi ya mara tano reality ya hapo ni vituko tu......kumefifia
Cjui kwa nn roads zao zpo hvyo, ila ndiyo hzo waliongopea watu mpk hata baadhi ya WaTz waliamini, wanazipiga make up zen unaongopewa, mfano kuna road amepost hapo juu kwa mbele km kuna ka mnara ni chafu balaa ila wameipiga make up utadhani kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cjui kwa nn roads zao zpo hvyo, ila ndiyo hzo waliongopea watu mpk hata baadhi ya WaTz waliamini, wanazipiga make up zen unaongopewa, mfano kuna road amepost hapo juu kwa mbele km kuna ka mnara ni chafu balaa ila wameipiga make up utadhani kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
nashukuru angalau nairobi naijua kiasi sababu nimefika huwa nikionaga baadhi ya picha zao huwa nabaki kucheka tu hii yote kwasababu najua uhalisia wa mazingira wanayo post jinsi yalivyo
 
nashukuru angalau nairobi naijua kiasi sababu nimefika huwa nikionaga baadhi ya picha zao huwa nabaki kucheka tu hii yote kwasababy najua uhalisia wa mazingira wanayo post jinsi ulivyo
Uzuri wake ni kwamba Wakenya wengi ss wameujua ukweli hata wa humu Jf [emoji3] [emoji3]
 
Uzuri wake ni kwamba Wakenya wengi ss wameujua ukweli hata wa humu Jf [emoji3] [emoji3]
ni wajinga sana.........yaani kwasababu hawatoki nnje ya kenya huwa wameishia kujifariji tu kwa kujidanganya kuwa wapo vizuri kumbe hawana kitu special ni ujinga tu umewajaa[emoji3][emoji3]
 
Ni tanzania unaweza enda dar mbeya zaidi ya Kilomita 800 za lami.dar arusha 600km.
dar dodoma 425 Km za lami.hizo 21000 Km ni za hapo hapo Nairobi tu? yaani njia nne zimezidishwa mara nne nne au?mbona hazifiki popote.
TZ mfano dar Moro ni njia mbili ya Km 199.sisi tinasema ni km 199 bila kujali ubungo mbezi pana njia nne kwenu mngesema 398Km +.
 
Back
Top Bottom