Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kando na hyo red hill road ambayo udongo wake ni mwepesi tuonyeshe na zingine basi za wachina
Au unaogopa kuleta

na hii ya Mombasa dongo kundu port/SGR bypass? for the fourth time crumbling?

Ej3mG5pXcAAOzNG


Ej3mG5vXcAMingl






Hivi una-undermine Engineering that is supposed to measure the soil properties ahead and come up with right solution sio? Mbona aliyejenga hii barabara hathubutu kufanya ujinga huu Tanzania!

na hapa je? the Kshs 3.1 bln runway for Isiolo international airport!



This chinese first class for duped Kenyans costed $3.8 bln!
sgr.jpg
 
Hizo picha zako mpya mpya ongeza kwa hiyo thread. Ukipost ntakufuata huko.
Hatuhitaji thread kibao kuongelea jambo lilele
Wewe umeleta ripoti ya barabara za kenya.
Umetuonesha idadi ya barabara zenu kwenye makaratasi. Sasa tunataka tuone katika real world.
Bado hatujakuletea

Dar es Salaam Metropolitan Development Project (DMDP)
 
Tanzania kupata things like these ni 2097.
View attachment 1599152View attachment 1599154
Underpass
Mchina kaisha wapoteza tiyali chukua pillars za render yake na izo anazo jenga ni tofauti...🤣🤣🤣From single pillar to double pillars...najua mtakuwa mmeelewa Mchina anakwepa Nini..🤣🤣🤣Hii project haitokuja kuendana na render...Kwa sababu ipo chini ya uwangalizi wa China...Vyovyote vile wanaweza kuibadili render wanavyotaka....Nitazidi kuwaabalisha mabadiliko...Nakwa taarifa alitokuwa na kilometer zaidi ya tatu....🤣🤣🤣Ndipo mtajua kuwa wa Tanzania ni wachawi🤣🤣🤣
images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom