Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujenzi wa Reli jijini Dar es salaam
Screenshot_20201012-153908.png
 
Wacheni kulazimisha mambo. Ili ukumbi uitwe indoor arena, kuna baadhi ya vitu lazima iwe nazo, na mojawapo ya hizo ni sitting arrangement. Indoor arenas have what we call tiered sitting arrangement where rows or levels are placed one above the other.

kitu kingine ni kwamba lazima iwe na flat central area SURROUNDED by seats. The central flat area must also be the lowest point of the arena to allow for maximum visibility. Do you see any of these features in these pictures you've shared above?
Nionyeshe msanii nguli wa kimataifa wa kisasa aki perform kwenye iyo Arena ya Kenya...🤣🤣🤣
 
Nionyeshe msanii wa mziki wa kisasa wa kimataifa ambae amewai ku perform kwenye hii Arena👆👆👆🤣🤣🤣...
How is that important? That arena was built specifically for sports, not musical concerts so that's not a priority. Wewe nionyeshe msanii wa kimataifa amewahi kuperform kwenye ile tent yenu ya catering
 
Nionyeshe msanii nguli wa kimataifa wa kisasa aki perform kwenye iyo Arena ya Kenya...🤣🤣🤣
So umeshahamisha magoli!! 😂 😂. Wewe niambie ni msanii yupi amewahi peform kwenye zile tents zenu za matanga
 
Wacheni kulazimisha mambo. Ili ukumbi uitwe indoor arena, kuna baadhi ya vitu lazima iwe nazo, na mojawapo ya hizo ni sitting arrangement. Indoor arenas have what we call tiered sitting arrangement where rows or levels are placed one above the other.

kitu kingine ni kwamba lazima iwe na flat central area SURROUNDED by seats. The central flat area must also be the lowest point of the arena to allow for maximum visibility. Do you see any of these features in these pictures you've shared above?

Sasa VIP arena kwann isiwe na cabins zenye sofas na private counters za watu kula bata?
 
Hi battle imewakilia vibaya....Lazima mlandelande Kenya nzima kushindana na Dar...Naomba uniwekee Cable Bridge kutoka Kenya...🤣🤣🤣
Soma kile Kilaza mwenzako aliandika ndio utoe upupu. Alisema Tanzania inajenga, hakusema Dar inajenga.
 
Sasa VIP arena kwann isiwe na cabins zenye sofas na private counters za watu kula bata?
In that case it ceases to be called an indoor arena. It becomes something totally different but not an indoor arena
 
Wacheni kulazimisha mambo. Ili ukumbi uitwe indoor arena, kuna baadhi ya vitu lazima iwe nazo, na mojawapo ya hizo ni sitting arrangement. Indoor arenas have what we call tiered sitting arrangement where rows or levels are placed one above the other.

kitu kingine ni kwamba lazima iwe na flat central area SURROUNDED by seats. The central flat area must also be the lowest point of the arena to allow for maximum visibility. Do you see any of these features in these pictures you've shared above?

huku juu nilipanda uone viti vyeupe? au wew ni kipofu? hapo stage ndo central point... mtu ukikaa popote unapaona hapo.. hapo chin hakukuwa na viti bado wakat napoga picha
 
huku juu nilipanda uone viti vyeupe? au wew ni kipofu? hapo stage ndo central point... mtu ukikaa popote unapaona hapo.. hapo chin hakukuwa na viti bado wakat napoga picha
Leta picha yenye iko na viti ndani tuone Kama iko hivyi coz this is how indoor arenas should look like
ENTRENO_BASKET_RM__HES1986.jpg
agm.jpg
 
Compare this with the O2 below View attachment 1597954

hapo ndo unapofeli..
unajua maana ya arena? na indoor arena??

sio arena zote lazima ziwe na muundo huo.. yetu haiko round kama unavyotaka.. yetu viti vyake vimekaa muundo wa ‘U’.. hapo sehem ambayo haijafunga kwenye U ndo stage ipo

sio arena zote zina circle au box seats arrangements
 
How is that important? That arena was built specifically for sports, not musical concerts so that's not a priority. Wewe nionyeshe msanii wa kimataifa amewahi kuperform kwenye ile tent yenu ya catering
🤣🤣🤣🤣Utalia sanaaaa....Sasa naona umeweza ku categorize Arena nakujua maana yake kiundani zaidi....Taratibu tunawapa somo
 
Back
Top Bottom