Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa unamambo ya kitoto sana.
Grow up. Kenya hakuna arena yoyote.
You are just showing us meeting hall.
Pole sana kwa maumivu bongolala 😂
DccLUETXcAAhn95.jpeg
agm.jpg
KCB-vs-Kenya-Prisons-2019.jpg
9526192042_9ec8fcbd7e_k-700x467.jpg
EB8AdyPXsAEfBnX.jpeg
 
Nchi inajenga reli ya umeme, interchanges za kisasa, flyover za kumwaga tena ni modern kabisa, modern markets kila kona ya nchi, mameli mapya kabisa, bandari af eti mnataka kushindana wakati nyie mna infrastructure za kizamani kabisa walizojenga wazungu, jengeni wacheni upuuzi zen mje.
 
Wakenya ni washamba sana,nimeamini hakuna kitu wanachokijua..they pretend to know a lot,but in reality,they are the dumbest as ***..duh hivi wakenya wote wako hiviii??
 
We mbumbumbu bwana hata maana ya underpass hujui,eti zile unasema ni bridges!???🤣🤣🤣 Aisee ukilaza uliokuwa nao umekithiri kwa kweli yaani hata bridge hujui inafananaje
Tanzania haina underpass na haitawaikuwa nayo. Hiyo hata Magufuli anajua.
 
Sijawahi kuona ujenzi wa hovyo wa barabara kama wa Kunyaland, yaani hawana standard ni kama kila constructor anajiamulia tu ajengeje.

Ubaya ni kwamba hawaoni kasoro zilizopo mie leo nimeona ujenzi wa barabara za Zanzibar bila demarcations tayari nimewaandikia kuwauliza inakuwaje?
 
Back
Top Bottom