Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nishakuona wew ni mshamba.. na hujui exactly maana ya arena
Unapoteza muda wako mkuu, Wakenya ni wa shamba sana halafu wanajifanya wajuaji. Kule uchagani tuna story ya mkikuyu aliyejifanya anajua ngeli. Ilikuahivi:
Mzungu: how much is banana?
Mkikuyu: Hazijabanana ungali mwemwe
Huku akizitenganisha ili zisisionekani kuwa zimebanana
 
hapo ndo unapofeli..
unajua maana ya arena? na indoor arena??

sio arena zote lazima ziwe na muundo huo.. yetu haiko round kama unavyotaka.. yetu viti vyake vimekaa muundo wa ā€˜U’.. hapo sehem ambayo haijafunga kwenye U ndo stage ipo

sio arena zote zina circle au box seats arrangements
Ndio maana nakuambia hiyo yenu sio arena coz it doesn't meet the threshold
 
Sikumbuki kama kuna TV yoyote ya Tanzania iliyowahi kurusha mwenendo wa hali ya Utalii wa Kenya.
Hatuna habari nao cz malengo yetu co kushindana na kenya bali tuna ndoto zetu za kuifanya Tanzania kuwa km Eastern Europe na inawezekana tukipambana km tunavyofanya sasa hivi, ila wao ndiyo wanalazimisha ushindani wkt wao ni failed state.
 
🤣🤣🤣🤣Utalia sanaaaa....Sasa naona umeweza ku categorize Arena nakujua maana yake kiundani zaidi....Taratibu tunawapa somo
Hakuna somo mdangayika answers nipa. Mtu anayeita tent indoor arena anaweza nielimisha nini?
 
Hatuna habari nao cz malengo yetu co kushindana na kenya bali tuna ndoto zetu za kuifanya Tanzania kuwa km Eastern Europe na inawezekana tukipambana km tunavyofanya sasa hivi, ila wao ndiyo wanalazimisha ushindani wkt wao ni failed state.
Hawa hapa tena, yaani tukiamua kufanya jambo lolote ambalo kwao lipo, lazima waseme tunataka kushindana na Kenya.
 
Kuna huyu naye ajipange Zanzibar imefungua uwanja tayari 4 major airlines zimeonyesha nia ya kutua zanzibar! Aendelee kujiaminisha the bloated Kenya's lockdowns will weigh favorably on decision by Western tourists to visit Kenya



Zanzibar inaendelea kula vichwa...!
KLM
Lufthansa
Egyptair
Emirates

8 Oct 2020 // Airline Analysis // No Comments Ā»

KLM and Lufthansa to BOTH begin Zanzibar; fast-growing from Europe​


KLM and Lufthansa to BOTH begin Zanzibar; fast-growing from Europe

KLM is to begin Zanzibar on 10 December 2020, followed by Lufthansa from Frankfurt on 31 March. Zanzibar will be KLM’s sixth destination in East Africa after Dar Es Salaam, Entebbe, Kigali, Kilimanjaro, and Nairobi. And it will be Lufthansa’s fourth, after Addis Ababa and Nairobi and, also coming, Mombasa.

KLM and Lufthansa are both to begin Zanzibar, Tanzania, and both carriers will have direct competition.

KLM will start on 10 December, with a twice-weekly service using 294-seat B787-9s. It’ll route Amsterdam – Zanzibar – Dar Es Salaam – Amsterdam.

Lufthansa, meanwhile, will launch Frankfurt – Zanzibar on 31 March. Its twice-weekly offering by A330-300s will be via Mombasa – also new – in both directions.

KLM’s announcement builds on Cairo, Cork, and Southampton so far starting/restarting in 2020. These will be joined by Poznan from 25 October and Riyadh from 7 December. Austin is now expected to begin in 2021.

Lufthansa’s new Frankfurt – Mombasa – Zanzibar will be joined in S21 by 13 short-haul and similarly very outbound leisure services. This includes six new routes to Greece.

Lufthansa is focusing more than ever on the local German market, hardly surprising at the moment. Indeed, in 2020 it has started Gran Canaria, Rhodes, and Tenerife South from Frankfurt.

Routing…Start dateWeekly frequencyDirect competition
Amsterdam – Zanzibar*10 December2TUI (1)***
Frankfurt – Zanzibar**31 March2Condor (2)***
* Continuing to Dar Es Salaam before returning to Amsterdam. ** Via Mombasa in both directions. *** Both from 23 December.

KLM and Lufthansa latest to Zanzibar; market has grown strongly

Europe – Zanzibar has grown well in recent years, with 367,000 seats recorded in 2019. This was by up 148%, or 219,000, over 2015.

Neos was the largest European operator to the Tanzanian island, with 107,000 seats. The second was Turkish Airlines, which began Zanzibar in 2016; this airline accounts for most of the recent growth.

Last year we analysed Turkish Airlines and the MEB3’s total network distribution. Turkish Airlines had by far the most weekly frequencies to/from Africa.

Zanzibar was linked to 12 European airports in 2019, so pre-coronavirus. Milan Malpensa was by far the top with three in ten seats.

Not surprisingly, Italy was the leading country for non-stop service to Zanzibar, with four Italian airports having just under half of all seats. Germany was third after Turkey.

KLM and Lufthansa to BOTH begin Zanzibar; fast-growing from Europe

KLM will begin Zanzibar in December 2020 and Lufthansa in March 2021. Source: OAG Schedules Analyser.

Zanzibar – Europe; sixth freedoms also key​

Aside from non-stops, discussed above, sixth freedom operators were also key to Europe. In particular, Ethiopian Airlines, flydubai (and also with Emirates to Europe), Qatar Airways, and Turkish Airlines.

In the randomly chosen week beginning 16 December 2019, Ethiopian had a daily service using a hodgepodge of aircraft: A350-900s, B737-800s, B777-200LRs, and B787-8s and -9s. Its A350s were used most and they routed via Kilimanjaro in both directions.

We explored Ethiopian’s network in February.
flydubai, meanwhile, had a 14-weekly service. Of these, seven terminated in Zanzibar, while the other half continued to Dar Es Salaam and back via Zanzibar.

We looked at flydubai’s closer-than-ever relationship with Emirates earlier this year.
Across all carriers, the largest unserved European markets were Paris, London, Vienna, Munich, and Copenhagen, with Paris by far number-one.

KLM and Lufthansa to BOTH begin Zanzibar; fast-growing from Europe

Source: OAG Mapper.

KLM and Lufthansa to BOTH begin Zanzibar; fast-growing from Europe

EgyptAir Set to Launch Direct Flights to Zanzibar​


21 APRIL 2018
Tanzania Daily News (Dar es Salaam)
By Abdallah Msuya

EGYPTIAN Airline, Egyptair, is set to start direct flights from Cairo to Zanzibar, a move which is expected to boost the Isles tourism sector and enhance business between the two countries.

Egyptair vice president, Mr Mohamed Alabbady confirmed his carrier's intention to launch a direct scheduled flight between Cairo International Airport and Abeid Amani Karume International Airport in the near future when he paid a courtesy call on President Ali Mohamed Shein, yesterday.

https://allafrica.com/stories/201804210096.html
 
Hilo ndio tatizo lenu, sisi tumesema tunafungua mnada wetu wa chai, ninyi mnasema lengo letu ni kushindana na Kenya, kwanini Tanzania inawakosesha amani "Unnecessarily?"
Mombasa Tea Auction is the second largest tea auction in the world. Did you forget that? Mbona mnataka kushindana na ndovu kunya?
 
Back
Top Bottom