Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya bhana
je_wajua2018-20201011-0001.jpg
 
Hahahaha hii cowshade ondoa hapo
yaani mkuu nimegundua kuwa wakenya ni washamba sana hawajui hata aina za arena zinakuwa vipi washakariri kuona arena ikiwa ina sit kama za uwanja wa mpira au badketball.....nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Stendi ya mabasi Dodoma ilipokamilika kenya ilitetemeka huku wakenya wengine wakilaumu serikali yao kwa kufananisha "shukisha kwa mlima" na bus terminal ya Dodoma...wengine wakafika mbali zaidi kuifananisha na airport zao,

Hivi hii ya Mbezi Luis Dar es salaam ikikamilika itakuwaje kwa wakunya maana ni nzuri kuliko ile ya Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]

Washaanza [emoji23][emoji23][emoji23]

 
yaani mkuu nimegundua kuwa wakenya ni washamba sana hawajui hata aina za arena zinakuwa vipi washakariri kuona arena ikiwa ina sit kama za uwanja wa mpira au badketball.....nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ebu tuonyeshe indoor arena yoyote inayofanana na hile tent yenu, tujue kati ya wewe na wengine na mjinga.
 
arena yenu kubwa ni 5000 capacity saaa unataka kunidanganya nn??😀😀😀
There are only two indoors arena in East Africa, ya Nairobi an ya Kigali. Hizo zingine mnaonyesha hapa ni tu tents za shows na nimekuambia ziko kila mahali Kenya. Nyinyi hamtawai kuwa na indoor arena.
 
There are only two indoors arena in East Africa, ya Nairobi an ya Kigali. Hizo zingine mnaonyesha hapa ni tu tents za shows na nimekuambia ziko kila mahali Kenya. Nyinyi hamtawai kuwa na indoor arena.
and i know kigali handle 10000 and nairobi handle 5000 is that okey so ulipewa ya dar ambayo ina uwezo wa ku handle 7000 sijui wapi unakwama wewe😀😀
 
and i know kigali handle 10000 and nairobi handle 5000 is that okey so ulipewa ya dar ambayo ina uwezo wa ku handle 7000 sijui wapi unakwama wewe😀😀
Hakuna indoor arena Dar na hamtawaikuwa nayo
 
Back
Top Bottom