My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,602
- 11,885
$40 Million [emoji52][emoji52][emoji52]
Wengine wanauliza kama wataweza kumpigia kura JPM wakiwa kenya [emoji23][emoji23][emoji23]Hii tabia ya majirani kumtumia JPM as benchmark yao iameanza lini? [emoji3516][emoji23][emoji23][emoji3516][emoji2369]
Wanatuonyesha tents kama zile za Churchil Show! 😂There are only two indoors arena in East Africa, ya Nairobi an ya Kigali. Hizo zingine mnaonyesha hapa ni tu tents za shows na nimekuambia ziko kila mahali Kenya. Nyinyi hamtawai kuwa na indoor arena.
Sitting capacity ya hiyo tent ya Churchil Show is not the subject of discussion. Unachoulizwa ni kwamba tangu lini tent kama hiyo ikaitwa indoor arena?is this 7000 capacity😂😂😂 hebu nicheke
That's a railway tunnel. It's not an underpass road. Get the difference danganyikan. You don't have an underpass anywhere in TanzaniaView attachment 1597246
Tunachoronga hiyo moja, nyingine zinakuja
the subject is kenya arena can only handle 5000 and not moreSitting capacity ya hiyo tent ya Churchil Show is not the subject of discussion. Unachoulizwa ni kwamba tangu lini tent kama hiyo ikaitwa indoor arena?
Wapi indoor arena ya Tanzania? 🤣 🤣the subject is kenya arena can only handle 5000 and not more
Kwani we ukisikia neno "indoor arena" kichwani mwako unaelewa nini?Sitting capacity ya hiyo tent ya Churchil Show is not the subject of discussion. Unachoulizwa ni kwamba tangu lini tent kama hiyo ikaitwa indoor arena?