Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Munasubiri iishe musebe best in east and central.??

Bay the way iyo haifikii mloganzila ni vile wabongo hatupendi kuongelea mambo zetu na mloganzila inafanya kazi teyari..

View attachment 1596544View attachment 1596546wakati nyie mnafungua iyo sisi tunafungua izo refera kama izo kila kanda more than 4..

Zaidi ni kwamba facilities zake ni za kisasa kuliko hata agakhan ya kenya..

Na iyp picha kwenye kitanda siyo ICU.View attachment 1596549
Kwenye afya kenya kidogo mutuache. Mlikua zamani sio sasa.
 
Stendi ya mabasi Dodoma ilipokamilika kenya ilitetemeka huku wakenya wengine wakilaumu serikali yao kwa kufananisha "shukisha kwa mlima" na bus terminal ya Dodoma...wengine wakafika mbali zaidi kuifananisha na airport zao,

Hivi hii ya Mbezi Luis Dar es salaam ikikamilika itakuwaje kwa wakunya maana ni nzuri kuliko ile ya Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Hizi buildings wabongolala huita twins towers ninamashaka sana nazo
IMG_20201011_084816_631.jpg
IMG_20201011_084705_778.jpg
 
Kulingana na hesabu yangu Tz Kuna 22 buildings za over 20 floors pekee....wabongolala tupunguze uongo tafadhali
IMG_20201011_085817_328.jpg
IMG_20201011_084705_778.jpg
 
Stendi ya mabasi Dodoma ilipokamilika kenya ilitetemeka huku wakenya wengine wakilaumu serikali yao kwa kufananisha "shukisha kwa mlima" na bus terminal ya Dodoma...wengine wakafika mbali zaidi kuifananisha na airport zao,

Hivi hii ya Mbezi Luis Dar es salaam ikikamilika itakuwaje kwa wakunya maana ni nzuri kuliko ile ya Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]


Imagine iyo tweet pamoja na uzito wake angalia retweet zake watu wanaona ni kawaida hakuna maajabu na hata hazijafika 20. Ingekua kenya iyo habari kweny media zote mpaka CNN ingefika..
 
Imagine iyo tweet pamoja na uzito wake angalia retweet zake watu wanaona ni kawaida hakuna maajabu na hata hazijafika 20. Ingekua kenya iyo habari kweny media zote mpaka CNN ingefika..
Kama hiyo handle enyewe hata haina followers, sasa unaexpect aje watu wairetweet?
 
Count again

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
1.Tpa 2.pspf tower one 3.pspf tower two 4.mnf 5.ppf 6.mzizima office tower 7.mzizima residential 8.Rita 9.sky tower 10.BOT tower one 11.BOT tower two 12.Uhuru heights 13.Millennium tower 14.ppf golden jubilee 15.Umoja Wa vijana tower 16.Ushirika tower 17.Viva tower 18.Morocco residency tower 19.Golden tulip 20.Mafao 21.Mafuta tower 22.quality boulevard tower
 
Imagine iyo tweet pamoja na uzito wake angalia retweet zake watu wanaona ni kawaida hakuna maajabu na hata hazijafika 20. Ingekua kenya iyo habari kweny media zote mpaka CNN ingefika..
Wengine wameona lakini hawaja retweet, kucoment wala kulike,

Mmiliki wa hiyo account ndio anaweza kuona hiyo tweet imefikia au kuonwa na watu wangapi,

Kwa hesabu za haraka haraka hiyo tweet itakuwa na impression ya elfu nne kasoro.
 
Kama hiyo handle enyewe hata haina followers, sasa unaexpect aje watu wairetweet?
Kuwa na followers wengi sio kigezo cha kupata likes na retweet nyingi,

Unaweza kuwa na followers wachache na ukapata likes na retweet nyingi,

Mfano angalia tweet activity ya mojawapo ya tweet kwenye account yangu ya twitter na nina followers 1k tu.
IMG_20201011_094910_635.JPG
 
Back
Top Bottom