Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,254
- 33,484
PoaLkn unaweza kujiongoza kwa kutumia logic tu na ndiyo maana nikakupa hizo namba, ...
PoaLkn unaweza kujiongoza kwa kutumia logic tu na ndiyo maana nikakupa hizo namba, ...
Walidhani Tz ni size yao kumbe ipo fit kila idara.Hawa sijui kama walikuwa wanaijua vyema TZ[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22].
Yaani jimeshangaa sana tunaanza kubishana kwenye vitu vidogo namna hiyo hawataki.
KLM anapeleka maumivu KQ unajua baadhi ya wateja kuelekea Zanzibar walikuwa wanakuja na KLM kupitia JKIA kwa vile hizi airlines ni sister companies na zina code-sharing! Hata Emirates ina plan ya kuanza kutua Zanzibar!
ajulie wapi uyo.....Tukianza kuposti marabara,mahospitali,mahotel hakuna nchi afrika ambayo maendeleo yamesambaa kama Tanzania ndo maana tunaongoza kwenye inclusive economy afrika
finish.....sasa usikariri,huku gari za polisi ni PT kuandikwa police ubavuni sio lazima.
Hata huku v8 GK zipo au waona ni kitu kigeni hicho[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kumbe tumewazd maeneo mengi hv ckuwa najua [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1592329View attachment 1592330
Eti kutushangaza, hhhh!!hapo mnaambiwa ukwel km hyo v8 kamwe si ya kupigia patrol wala kwenda kukamatia watu tandale..Weka hapa tuone, duuhh yn polisi kuwa na v8 imewashangaza sn Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ziko mdomoni mwako ? Acha blablabla weka ushaidi....hapa sio kijiweni...unapiga umbea tuHata huku v8 GK zipo au waona ni kitu kigeni hicho[emoji23][emoji23]
Lkn hazitumiki kwenda kukamatia vibaka
Ziko mdomoni mwako ? Acha blablabla weka ushaidi....hapa sio kijiweni...unapiga umbea tu
Umesahau ZT - Zimamoto na uokoajiWewe jamaa utakuwa na matatizo sana. Unadhani Issue zenu za kenya ndiyo issue za TZ
Na unatakiwa uwe tayari kujifunza. Tatizo lako ujiaji wa kijinga na hautaki kujifundisha.
Anyways:
PT = Polisi Tanzania
MT = Magereza Tanzania
UT = Uhamiaji Tanzania
JW = Jeshi la wananchi
SU = Shirika la Umma
SM = Serikali za mitaa
ST(K,J...) Serikali ya Tanzania
CD = Diplomat Car
E = Escort
S = Spika
NS= Naibu Spika
CS = Katibu mkuu kiongozi
JM = Jaji mkuu
CDF = Mkuu wa majeshi
RC = Reginal Cammisioner
Orodha ni defu sana.
Usilete ujinga wako hapa
Tycoons wanatumia bulletproof v8 bro wala sio hzo kanjanjayani tena ni ajabu kubwa sana kwao yani V8 kwao wanatumia tycoons na viongozi wakubwa sana kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha!!OCD mwnywe hatumii hzo[emoji23][emoji23]yani PT ni nyingi sana View attachment 1592341View attachment 1592342
Leo nimegundua kwamba Wakenya mpo nyuma sana aisee mmekaa humu mnajadili kuhusu v8 ambazo nyie mnatumia kwa viongozi cc huku wanatumia mpk polisi na ushahidi umewekwa humu bado hamtaki mnaona ni maajabu [emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha!!OCD mwnywe hatumii hzo[emoji23][emoji23]
Mnaforce vitu vya kijinga