Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yosef Festo vp una la ziada? Msiwe mnakubali kuongopewa na vitakwimu ushuzi vya Google ati zifuatazo ni nchi zenye bajeti kubwa za jeshi Afrika but on ground ushuzi wa mbuzi.

Tz ni nchi ya ajabu sana kuna mambo mengi ya kujivunia ila huwa tunakausha tu, angalia ss gali ambazo kwenu anapanda raisi huku kwetu mapolisi wanazurura nazo mitaani tu kukamata wanywa gongo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Najua kwenu gongo ruksa ila huku kwetu vitu vichafu km hvyo marufuku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Unataka ni waumbue tena? Tanzania tunaijua, mnapenda utani sana, na domo domo., eti v8 ni ya matumizi ya kawaida, peleka ufala mbali, polisi wenu fukara, poor salary, low budget, gari zimechokaa! unaweka VIP escort eti ya matumizi ya mtaa, usinibebe ufala mnavyo bebwa na serikali yenu😂😂😂😂 unaniambia nini wewe, mko down, what you wont accept, mnajilazimisha muonekane mko juu ya Kenya lakini wapi! Propaganda ndio yako, buda boss! 😂 😂 😂 😂 ,
 
Tofauti ni kubwa sana km mbingu na ardhi.
tapatalk_1601845589391.jpeg
tapatalk_1601845598159.jpeg
tapatalk_1601415289319.jpeg
 
Unataka ni waumbue tena? Tanzania tunaijua, mnapenda utani sana, na domo domo., eti v8 ni ya matumizi ya kawaida, peleka ufala mbali, polisi wenu fukara, poor salary, low budget, gari zimechokaa! unaweka VIP escort eti ya matumizi ya mtaa, usinibebe ufala mnavyo bebwa na serikali yenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaniambia nini wewe, mko down, what you wont accept, mnajilazimisha muonekane mko juu ya Kenya lakini wapi! Propaganda ndio yako, buda boss! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,

twende kawaida lete gari ya bei mbaya polisi kenya[emoji28][emoji28]
 
Unataka ni waumbue tena? Tanzania tunaijua, mnapenda utani sana, na domo domo., eti v8 ni ya matumizi ya kawaida, peleka ufala mbali, polisi wenu fukara, poor salary, low budget, gari zimechokaa! unaweka VIP escort eti ya matumizi ya mtaa, usinibebe ufala mnavyo bebwa na serikali yenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaniambia nini wewe, mko down, what you wont accept, mnajilazimisha muonekane mko juu ya Kenya lakini wapi! Propaganda ndio yako, buda boss! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,
Hahahaaa hizo v8 wanatumia askari ss unataka ushahidi gn, gari hyo imeandikwa PT ss unalia lia nn hebu lete na ww escort ya Kenya tuone.

My Take: Najua umeshangaa sn cz ww pia ni mmoja wa waliokuwa na negative visualization juu ya Tz but uzi umekusaidia sn huu [emoji3][emoji3]

Angalia kingine icho apo pembeni pia ni mfano wa gari za polisi wetu vile zinakaa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1587150543719.jpeg
 
Unataka ni waumbue tena? Tanzania tunaijua, mnapenda utani sana, na domo domo., eti v8 ni ya matumizi ya kawaida, peleka ufala mbali, polisi wenu fukara, poor salary, low budget, gari zimechokaa! unaweka VIP escort eti ya matumizi ya mtaa, usinibebe ufala mnavyo bebwa na serikali yenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaniambia nini wewe, mko down, what you wont accept, mnajilazimisha muonekane mko juu ya Kenya lakini wapi! Propaganda ndio yako, buda boss! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,
Yn ww unachekesha sn, kwa taarifa yako polisi Tz na wanajeshi ni miongoni mwa watu wenye maisha mazuri sn hapa Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapa ni done and dusted![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nili 'control-delete', now is consolation pics, controlled perspective for a false illussion, kweli Tz ni nchi ya ajabu sana, nakubaliana na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli unaonesha dhahiri kabisa ww huna exposure na hujawahi fika Tz unadhani maisha ni nairobi tu, toka uzunguke ww [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahaaa hizo v8 wanatumia askari ss unataka ushahidi gn, gari hyo imeandikwa PT ss unalia lia nn hebu lete na ww escort ya Kenya tuone.

My Take: Najua umeshangaa sn cz ww pia ni mmoja wa waliokuwa na negative visualization juu ya Tz but uzi umekusaidia sn huu [emoji3][emoji3]

Angalia kingine icho apo pembeni pia ni mfano wa gari za polisi wetu vile zinakaa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1590550
Bado hamtoshi, video kaka, weka niweke, dawa yenu ninayo😂😂😂😂😂😂

Baadhi ya Kenya police vehicles(matumizi ya kawaida)











 
Hapa ni done and dusted![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nili 'control-delete', now is consolation pics, controlled perspective for a false illussion, kweli Tz ni nchi ya ajabu sana, nakubaliana na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]

kwani huko kwenu middle income country karao hutumia gari gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

mbona huleti??
 
Bado hamtoshi, video kaka, weka niweke, dawa yenu ninayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Baadhi ya Kenya police vehicles(matumizi ya kawaida)











Ss hzo ulizoweka hapa askari wetu wanakamatia wala mirungi, wavuta bhangi, na wanywa gongo, alafu nimeona umeweka na vifaru kabisa wkt mada co hyo inaonesha kabisa umeshindwa au unataka kuamisha goli ila hata uko napo ukitaka utachapwa cz wenzio walishashindwa huko kitambo, angalia page za juu juu huko utaona [emoji3][emoji3]
 
Ndio sababu kila eneo moja la radar halipaswi kuhudumiwa na radar mbili tofauti, Kama kungekuwa na uwezekano wa Radar moja kufika maeneo yote Tanzania, tusingejenga Radar 4, tungeweka moja tu.

Kwa upande wa SGR kwasababu inatumia fiber, kuna sababu gani ya kujenga Control centres nyingi wakati moja tu inafikia trains zote popote pale nchini?.

Kuhusu vituo vya redio, mfano uliotoa hauendani na maelezo yako, Kila redio inarusha matangazo yake kutoka katika kituo kimoja tu, TBC lazima wawe na center moja ya kurusha matangazo, ITV, Clouds au Wasafi, kila moja lazima iwe na Centre moja tu.

Kama kutajengwa reli nyengine ya SGR, nayo itakua na Control Center yake, wanaweza kuijenga mkoa wowote watakaochagua, lakini watakua na Control Centre moja tu.

Logic ya kuwa na backup control centres apart from the main centre ya Dar in Kwamba Kama kukitokea hitilafu kwenye main centre ya Dar (lets say hitilafu ya moto etc etc) shughuli za treni bado zitaendelea.

Kumbuka kuwa treni zetu zitakuwa zinaendeshwa kwa kiwango kikubwa kutokea kwenye control centre, dereva yuko pale kwa ajili ya kufanya vitu vichache sana, Watu wa control centre watakua na uwezo hata wa ku-commanda treni isimame au iongeze speed etc etc.

Nimeona pia mnajaribu kutumia anlogy ya RADAR coverage Vs. Fiber optic cable coverage katika mfumo wa SGR🙂

RADAR:
RADAR ni mfumo wa mawasiliano bila waya unaotumika ku-detect vitu kwa kuvimulika na signal na kutumia returning/bouncing signal kutoka kwenye hivyo vitu vilivyomulikwa ili kujua vitu hivyo viko katika umbali gani au maeneo gaini. Vitu hivyo vinaweza kuwa ndege, missiles, drones etc.. Kwa kifupi coverage area ya RADAR station inategemea na nguvu yake ya kutuma signal (transmit power) pamoja na aina ya antenna zinatotumiwa. Kwa hio tunapokuwa na RADAR 5 za civilian nchi nzima maana yake ni kuwa kila RADAR station moja ina-cover eneo (sector) fulani la anga la nchi na zikiwa combined nchi nzima inakuwa covered. Hivyo basi hakuna ndege itakayopita kwenye anga letu bila ya watu wetu kuitambua, ofcourse tunazo pia RADAR stations za kijeshi ambazo ziko classified na hutuwezi kuzijadili hapa.

Fiber Optic Cables:
Fiber optic ni mfumo wenye kutumia nyaya ndogo ndogo sana zilizowekwa pamoja kama mkongo kwa lengo la kusafirisha mawasiliano kwa kutumia speed ya mwanga.


NJIA ZA MAWASILIANO KWENYE SGR YETU:
Kati SGR yetu kunajengwa aina mbili za mawasiliano kama ifuatavyo:

1 - Fibre optic - Huu ni mkongo umejengwa kandokando ya reli na utatumika kwa mambo makuu mawili (1) Traffic Management yaani kupokea mawasiliano ya data moja kwa moja toka kwenye treni itakapokuwa inapita kwenye reli na kupeleka katika control center na pia kutoa mawasiliano ya data kutoka kwenye control centre na kupeleka kwenye treni. (2) Backhaul kwa mitambo ya mawasiliano ya wireless yenye kutumia standard ya GSM-Railway (GSM-R).

2- GSM-R - Hii ni standard ya mawasiliano ya kutotumia waya (radio communication) maalumu kwa ajili ya matumizi ya kwenye reli. Katika SGR yetu mfumo huu umejengwa kwenye njia nzima katika kila kilometer kama 15 (hii ndio typical coverage radius yake) hivi utaona kuna minara au Base Transmit Station (BTS) ya GSM-R. Mfumo huu utatumika kwa ajili ya Controll and Signalling ya SGR yetu ambapo madereva wa treni wanatumia kwasiliana na control centre pamoja na mawsiliano mengine yote ya data na SMS ndani ya treni. Backhaul yake itakuwa ni mkongo wa fiber optic.

MIFUMO YA UENDESHAJI YA SGR YETU:
Sasa njia hizo mbili za mawasiliano hapo juu ndio zitatumiwa ku-feed data kwenye mifumo miwili ya uendeshaji ya SGR yetu ambayo ni European Train Control System - level 2 (ETCS-2) na European Railway Traffic Management System (ERTMS).

Nadhani hii sasa itaeleweka.
 
Ati wanajifanya wanahama jamii forums lkn utawakuta wapo humu kwa ID ngeni, hawawezi kuhama Jf hata iweje cz km huijui Jf utahisi hiyo mitandao unayotumia ndiyo super ila cku ukijiunga Jf na cku hyo hyo unatia sign ya milele
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
Ku
Ni kweli kabisa Waingereza hawakufanya maendeleo yoyote Tanganyika kwakuwa halikuwa koloni lao, wao walipewa tuu eneo na league of Nations kuliangalia. Ndiyo sababu hawakuweza kuhodhi ardhi ya mashamba makubwa kama walivyofanya Zimbabwe na Kenya.

Ukiangalia kwenye ile picha utaona Dar ya 1937 ni ile ile ya ramani iliyosanifiwa na Mjerumani, aliyekaa miaka 28 tuu Tanganyika. Utaona mji ulikuwa unaishia mtaa wa jamhuri, Upanga haikuwepo kabisa. Hii ndiyo sababu ya majirani (na hata waingereza, ref - a fishing village) kuionea wivu Dar, wakijua ni mji uliojengwa na wantanzania wenyewe.

Ukiangali miji mingi mizuri kusini ya Afrika utaona, uzuri wa miji unashabihiana na muda waliokaa wakoloni, Dar ni tofauti. Hivyo kufutua (debunk 🙂 ) ili nadharia kuwa waingereza pekee ndiyo walioleta maendeleo kusini mwa Afrika.
Katika makoloni yote ya mjerumani katika afrika (Deutsch sudwest afrika -Namibia, Deutsch ost Afrika-Tanganyika, Togo na Camerun ) wajerumani waliipa sana kipaumbele koloni lake la afrika mashariki. Na inasemekana kwamba wakati Dar es salaam inajengengwa na wajerumani ilionekana kuwa ndio mji bora kabisa kwa wakati huo kulinganisha miji mikubwa katika makoloni yote katika afrika kiasi kwamba hata wakoloni majirani zao waingereza (Kenya) waliaanza kuwaonea wivu wajerumani kwa jinsi walivyokua ambitious kujenga makoloni yake.

(NADHANI WAINGEREZA NDIO WALIOWAAMBUKIZA WAKENYA ROHO MBAYA NA WIVU WA KIJINGA - Just kidding 😃 😃 😃 )

Para extracted from wikipedia: German colonial empire - Wikipedia

" Dar es Salaam evolved into "the showcase city of all of tropical Africa,"[39] Lomé grew into the "prettiest city in western Africa",[40] and Tsingtao, China was, "in miniature, as German a city as Hamburg or Bremen".[41] For indigenous populations in some colonies native agricultural holdings were encouraged and supported.[42]"
 
Dar hii hapa, the developed area! Kwisha maneno, video inamaliza ubishi, mbali na hapa no any other place far North, East, West, na South, residential balaa, road network in comparison na population n size, below average, only two meaningful interchange in the whole sq km! Stick to your lane!!



Eti Paris of East Africa 😂 😂 😂


 
Dar hii hapa, the developed area! Kwisha maneno, video inamaliza ubishi, mbali na hapa no any other place far North, East, West, na South, residential balaa, road network in comparison na population n size, below average, only two meaningful interchange in the whole sq km! Stick to your lane!!



Eti Paris of East Africa [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ss kimiundombinu kiuhalisia mbn tumewaacha nyuma hyo nayo unabisha?

Dar ina 3level interchange Nairobi haina
Dar ina BRT system Nairobi haina
Dar ina railway ya umeme Nairobi haina

Unataka malaika aje akuambie kwamba Dar ipo juu ya Nairobi? Nilishawaambia hakuna miundombinu ipo Nairobi alafu Dar hakuna ila kuna infrastructures zipo Dar but Nairobi hakuna, je hilo nalo unabisha?
 
Back
Top Bottom