Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar es Salaam 1937
Screenshot_2020-10-04 Dar es Salaam (Tanzania), aerial view of city and harbor with flying boat.png

Source - American Geographical Society Library, University of Wisconsin-Milwaukee Libraries
 
Hahah wanatumiaga kigezo kuwa wanaume wa Tz wako romantic ila kiuhalisia wanakimbia njaa kali na slum life huko kwao...

Dada zetu wa kibongo hapa kila siku huwa wanalalamika hatupo romantic.....Wakati kwa manzi wa kikenya ukumtajia tu kuwa wewe mbongo anakuwa wet yani kama kapata jiwe la Laizer[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Majengo ya Posta, Toyota Karimjee na Azania Front pia yapo!

Pale DARCH (Dar center for Architectural Heritage) , Old Boma, kuna Historia nzuri sana ya Majengo ya Dar, katika Stages na tawala mbalimbali.

Hapa chini nimeruka German and British Era.
Kulingana na History, British hawakufanya chochote zaidi ya Kurenovate Majengo ya wajerumani , ni kwa sababu ya ufinyu wa Budget.

IMG_2211.jpg

IMG_2212.jpg

IMG_2213.jpg

IMG_2214.jpg

IMG_2215.jpg

IMG_2216.jpg

IMG_2217.jpg
 
hukukwetu hata hizo v8 wanatumia polisi pia.

perception inayokuja,mtu kama wewe kutumia hiyo inaonekana huna pesa za mawazo,maana inauzwa bei nzuri,imara pia,na inatumia mafuta mengi.
😂😂😂😉😂😂 evidence na isiwe presidential escort😂😂 V8😂😂😂😂,
 
Huu utaratibu wa kuhutubia juu ya magari wamemuiga Magufuli, viongozi wa kenya wanamfuatilia sana Magufuli hata huyu ruto hiyo slogan yake ya hustlers katoa kwa Magufuli anavyojiita yeye ni rais wa Kenya police landcruisers - بحث Google na masikini.
Sometimes try to get your facts right before kuropokwa😉😂check video clips za mzee Jomo Kenyatta na Moi, a Kenyan thing since independence, dawa yenu nimegundua ni video clips, it puts you in your place n lane. Mnspenda kujikweza sana, masikini jeuri
 
Huu utaratibu wa kuhutubia juu ya magari wamemuiga Magufuli, viongozi wa kenya wanamfuatilia sana Magufuli hata huyu ruto hiyo slogan yake ya hustlers katoa kwa Magufuli anavyojiita yeye ni rais wa Kenya police landcruisers - بحث Google na masikini.
Sometimes try to get your facts right before kuropokwa😉😂check video clips za mzee Jomo Kenyatta na Moi, a Kenyan thing since independence, dawa yenu nimegundua ni video clips, it puts you in your place n lane. Mnspenda kujikweza sana, masikini jeuri
 
Back
Top Bottom