Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nishaitumia hiyo route,full abiria,itakua mkakati tu kq kujiongezea abiria kama walivyosabotage kwa british air na lufthansa,wale wajinga walitaka hadi swiss air klm ziishie nairobi
Kweli kabisa mimi mwenyewe hii route nliitumia mara mbili miezi michache kabla hawajastop, ndege ilikua imejaa abiria. Wakunya propaganda nyingi
 
Kama umegundua wengi wao wanaoenda kwenye kampeni ni vijana, so nkafanikiwa kuwauliza vijana wachache waliokuwa wamehudhuria na waliokosa kampeni za Tundu.

1.1. Kwa nini hujaenda kampeni ya Tundu?
- Analalamika sana, ukitoka pale kichwa kinakuwa kinakuuma
- Sina muda wa kupoteza
1.2. Kwa nini umeenda kampeni ya Tundu?
- Jamaa tumemisi vituko vyake, tunaenda pale kama part ya stand up comedy "Huku wakimbeza namna anavotamka neno Magufuli"

2.1. Kwa nini hujaenda kampeni ya Magu?
- Mzee tushazoea swaga zake halafu ninauhakika kura zetu atapata na kwanza hakuwa hata na haja ya kufanya kampeni
- Huyu jamaa hata asipotuambia anataka kutufanyia nini tunajua tu atatufanyia vitu vya maana, so haina haja hata ya kwenda kumsikiliza
2.2. Kwa nini umeenda kampeni ya Magu?
- Huyu mzee anatusave sana, inatakiwa tumuoneshe upendo na sapoti ili azidi kutuokoa

So, kwa karesearch kangu tu nikajua Magu atashinda kwa kishindo kikubwa sana. Leo, wataalamu wameprove facts
 
ni mim tu sifatilii kampeni, ila siku ya uchaguzi tunaenda kupiga kura? kuna watu wanamakelele na uongo uongo mwingi naenda kuwastaafisha kisiasa!
Hii inaendanaendana na mojawapo ya reason nlizozipata kwenye research yangu
 
Why would we care. Of course he is going to win . Your country is a defacto one party state. Ati bad news for majirani . He was always going to win. Takataka.
😀 Inaelekea tukipata maraisi wa kaliba ya Magu, jirani mtapata shida sana na Magonjwa yatakayokua yanaongoza nchini kwenu ni high blood pressure na panic attacks
 
Hahaha. Ndio nimeshawaambia wasianze kusema hii sio Afrika. Najua hawataamini Kenya tuna magari mengi hivyo. Mentality yao ni ati Kenya iko nyuma yao. Hawataki kukubali ati Kenya tumewashinda kwa karibu kila kitu.
It's called inferiority complex ndugu. Tuwaelewe tu hawa majirani zetu. Nimeona mmoja wao kasema eti their busiest road uhudumia magari 68k kwa siku nikacheka tu. That's almost twice what Thika road handles. Tukisema Nairobi kuna magari mengi kushinda Dar wanasema ni barabara ndio hatuna. Then you wonder which city between these two has better road network. One started expanding its roads and building new ones more than a decade ago while the other built its first ever elevated road one year ago. Too much blind patriotism here
 
Mwenyewe nkawa najiuliza, tangu lini jirani akawa na 16 lanes na udongo mweupe?
Ubaya ni kwamba wewe unaishi Tandale wakati mimi naishi Nairobi. Sasa mbona unapingana na mwenyeji? The eastern side of Nairobi una udongo mweupe. Huko kupata udongo mwekendu ni sawa na kupata mbwa msikitini.
PhotoGrid_1601569492883.jpg
 
😀 Hongera jirani kwa foleni
Hii ungeambia wenzako wanaosema picha tumeokota. Kuhusu foleni, hii iko hata New York na Madrid. So it's no longer about 16 lanes na udongo mweupe? It's now about traffic jam 😂 😂. Kazi mnayo sana majirani
 
Hii ungeambia wenzako wanaosema picha tumeokota. Kuhusu foleni, hii iko hata New York na Madrid. So it's no longer about 16 lanes na udongo mweupe? It's now about traffic jam [emoji23] [emoji23]. Kazi mnayo sana majirani
Kwahiyo kwasababu ipo NewYork kwahiyo kuwepo Kenya is not big deal?, kwasababu USA wanakufa kwa Corona kwahiyo wakenya pia wakifa kwa Corona is not problem?, stupid
.
 
Kwahiyo kwasababu ipo NewYork kwahiyo kuwepo Kenya is not big deal?, kwasababu USA wanakufa kwa Corona kwahiyo wakenya pia wakifa kwa Corona is not problem?, stupid
.
Did you do literature in high school? Am just trying to say that traffic jams do not necessarily mean there are fewer roads or poor road network. It just means that there are just too many cars on the roads. Cities like New York have advanced road and transportation systems but still grapple with traffic menace from time to time. What does that tell you? The point is, there are just too many cars on Nairobi streets kuliko Dar. That's the simple message I was trying to pass but you are too stubborn to understand
 
Back
Top Bottom