usije kurudia kupost huu ushuzi au ulijua hatuisoma ๐๐๐๐๐Mzee wa billboard, kumbe upo? ๐ ๐ View attachment 1587291
Najua miradi yao yote waliohitaji sidhani kama itakamilika yote labda rais awe mjomba magu kwny ardhi ya kenyawakamilishe wapi anakwambia wanajenga BRT labda mbinguni![]()
Ubaya ni kwamba exposure ndio hauna. Unajifanya unajua sana ila hakuna unachokijuasoma hilo bango vzr alaf uelewe ๐๐๐๐ design and build BRT facilities
hapo mutajenga vistation viwili as a facility but this will remain the same๐๐๐๐๐
View attachment 1587302
hakuna kitu wanajenga inaitwa BRT ni ujanja ujanja wakudanganya wakenya ๐๐๐Najua miradi yao yote waliohitaji sidhani kama itakamilika yote labda rais awe mjomba magu kwny ardhi ya kenya
Budah nadhani utakuwa ujanielewa vizuri nilichokuwa na maanishaNiokote picha ndio nikufurahishe ama? That's Mombasa road ukishapita airport and Gateway Mall, on your way to Syokimau. Hii hapa ni picha nyingine nimeokota of the same section of road. Lia sasa![]()
View attachment 1587262
utadanganya watoto lakini sio mm mtu mzima bro nyinyi hamujengi BRT bali munazidi kujikanyaga wenyewe tena facility zenyewe zimeandikwa CBD and kenyatta hospital๐๐๐ lakini ukweli utabakia kua BRT is a system wether u go east or west ndio maana baada ya kupaka lipstic pale thika mulikaa miaka miwili mukijikanyaga mufanye nn ๐๐๐๐Ubaya ni kwamba exposure ndio hauna. Unajifanya unajua sana ila hakuna unachokijua View attachment 1587313View attachment 1587315
Muache azidi kuongeza deni hivi hawajui kuwa deni lao liko 60s% ya GDP yaohakuna kitu wanajenga inaitwa BRT ni ujanja ujanja wakudanganya wakenya![]()
naskia jamaa kaenda paris ku sign mkopo kwa ajili railway line from CBD to JKIAyani hawa jamaa wanachekesha sana
just look even the pic u posting kuna station na tena nafas ni kubwa kabisa hebu tudanganye sasa hapa station mutaeka wapi na nafas ya kupishana mabasi munaeka wapi๐๐๐๐๐Ubaya ni kwamba exposure ndio hauna. Unajifanya unajua sana ila hakuna unachokijua View attachment 1587313View attachment 1587315
unasema 60% linakimbilia 80%๐๐๐Muache azidi kuongeza deni hivi hawajui kuwa deni lao liko 60s% ya GDP yao
Ni nini hapo sijaelewa? Did you write it in Hindu? Kwa hivyo wewe ndio unaelewa Nairobi kushinda mimi mwenyeji? Ama uliposema nilikokota picha ulimaanisha nini?Budah nadhani utakuwa ujanielewa vizuri nilichokuwa na maanisha
Station tutaweka Tandalejust look even the pic u posting kuna station na tena nafas ni kubwa kabisa hebu tudanganye sasa hapa station mutaeka wapi na nafas ya kupishana mabasi munaeka wapi๐๐๐๐๐
View attachment 1587323
Nishaitumia hiyo route,full abiria,itakua mkakati tu kq kujiongezea abiria kama walivyosabotage kwa british air na lufthansa,wale wajinga walitaka hadi swiss air klm ziishie nairobiUkishaona hivyo ujue route ya Dar to Abudhaab hailipi.
Nilimaanisha umekosa picha za kuleta ndo nilichokuwa na maanishaNi nini hapo sijaelewa? Did you write it in Hindu? Kwa hivyo wewe ndio unaelewa Nairobi kushinda mimi mwenyeji? Ama uliposema nilikokota picha ulimaanisha nini?
๐๐๐๐๐๐ asante imefika vyema hioStation tutaweka Tandale
That section of Mombasa road between Gateway mall and Syokimau was designed in a very funny way. In short, upande wa kushoto wa barabara kuna lanes za to and fro, upande wa kulia pia ni vivyo hivyo. It's a bit complex and confusing at the same time. You have to make several turns in order to move from left side of the road to the right side
Umesahau miradi ya maji safi na salama mabomba yametandazwa mpk uswazi na kuna baadhi yameanza kutoa huduma ila sehemu zingine nadhani watasubiri mpk awamu ijayo japo mabomba yameshafukiwa.Project kubwa Dar kwa sasa ni tanzanite bridge,kimara-kibaha highway 8-12 lanes,SGR to be electrified, BRT II Phase, Morocco -mwenge road expansion 6lanes,DMDP (DAR METRO DEVELOPMENT PROJECTS (hawa wanajenga 200+km katika unplanned settlement mifereji nk), mbezi louis bus terminal,bucha la kisasa Vingunguti, ujenzi a masoko ya kisasa magomeni,kisutu
Hahahahaaaa hz picha ndo umeonesha kabisa kwamba ni make upWewe unaona sio rangi yake? Zipo nyingi tu ambayo si rangi ya kweliView attachment 1587046View attachment 1587048View attachment 1587050View attachment 1587051View attachment 1587052View attachment 1587053




Hizi ss ndio rangi halisi ya roads za nairobiOne of the reasons why an elevated expressway was a necessity along Mombasa road. This is how messy it can get sometimes. Too many cars on the road! View attachment 1587210

