Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila kwakweli huu uzi ulichowafanya Wakenya hawana hata hamu mana wkt thread inaanza walidhani ni masihara na hata baadhi ya WaTz (wenye mirengo ya kisiasa) hawakutaka kuamini kama Tz iko mbele ya kenya but nowadays japo kimya kimya wanaamini hususan wanapoona kuna angle tunawabananisha Wakenya wanaishia kutoa execuses kibao

Hivi kwa mfano mTz au mkunya aanze kubishana na let say SA kwamba Tz au Kunya iko more developed than SA unadhani mzulu atafanyaje hapo zaidi ya kumuonesha mTzau mkunya mambo yaliyopo SA? Unadhani mTz au mkunya utatamba? Mana atakuonesha mambo ambayo kwenu hamna hata ukikukuruka vp utashindwa lkn mzulu hatoshindwa mana anavyo vingi vya kukushinda.

Ss hawa wakunya humu wanasusa eti kwasababu hatusifii vitu vyao au tunakaa kmy hatusemi kitu ndo mana wanaona bora wasusie uzi hv inaingia akilini hyo? Ww km unajiamini weka niweke ila ukiona pumzi imekata kausha mana ukianza kusema oohh hunisifii ss ntakusifiaje wkt ulicho nacho mm pia nnacho na pengine changu ni more advanced than urs?

Wakenya mmeshindwa hii battle na ngoja niwaambie ukweli wa mambo ni kwamba miaka 5 ijayo tutaanzisha battle na SA japo tutakuwa bado kimaendeleo kuliko wao but tutakuwa tunacho cha kutunishiana nao misuli cz nao pia wana sehemu nyingi tu za kuwapiga mfano ma slums ya kumwaga ambayo kwetu hamna na kuna sehemu zingine mfano treni za umeme, MRT, cable bridges, BRT, madege ya kisasa, modern flyovers and interchanges, modern commuter railways zitakuwepo hapa Tz so wkt nyie tunawaacha mkipambana na ufisadi na ukabila wenzenu tutakuwa tuna tunishiana misuli na nchi zinazoonekana ni Europe za Afrika, poleni sana Wakenya
 
Ubungo flyover. Moto mwingine huooo
IMG_20200930_150228.jpg
IMG_20200930_150224.jpg
IMG_20200930_150220.jpg
 
Ila kwakweli huu uzi ulichowafanya Wakenya hawana hata hamu mana wkt thread inaanza walidhani ni masihara na hata baadhi ya WaTz (wenye mirengo ya kisiasa) hawakutaka kuamini kama Tz iko mbele ya kenya but nowadays japo kimya kimya wanaamini hususan wanapoona kuna angle tunawabananisha Wakenya wanaishia kutoa execuses kibao

Hivi kwa mfano mTz au mkunya aanze kubishana na let say SA kwamba Tz au Kunya iko more developed than SA unadhani mzulu atafanyaje hapo zaidi ya kumuonesha mTzau mkunya mambo yaliyopo SA? Unadhani mTz au mkunya utatamba? Mana atakuonesha mambo ambayo kwenu hamna hata ukikukuruka vp utashindwa lkn mzulu hatoshindwa mana anavyo vingi vya kukushinda.

Ss hawa wakunya humu wanasusa eti kwasababu hatusifii vitu vyao au tunakaa kmy hatusemi kitu ndo mana wanaona bora wasusie uzi hv inaingia akilini hyo? Ww km unajiamini weka niweke ila ukiona pumzi imekata kausha mana ukianza kusema oohh hunisifii ss ntakusifiaje wkt ulicho nacho mm pia nnacho na pengine changu ni more advanced than urs?

Wakenya mmeshindwa hii battle na ngoja niwaambie ukweli wa mambo ni kwamba miaka 5 ijayo tutaanzisha battle na SA japo tutakuwa bado kimaendeleo kuliko wao but tutakuwa tunacho cha kutunishiana nao misuli cz nao pia wana sehemu nyingi tu za kuwapiga mfano ma slums ya kumwaga ambayo kwetu hamna na kuna sehemu zingine mfano treni za umeme, MRT, cable bridges, BRT, madege ya kisasa, modern flyovers and interchanges, modern commuter railways zitakuwepo hapa Tz so wkt nyie tunawaacha mkipambana na ufisadi na ukabila wenzenu tutakuwa tuna tunishiana misuli na nchi zinazoonekana ni Europe za Afrika, poleni sana Wakenya
Yaani hii uchungu yote ni ya niniSimba akiamua kuto jishughulisha na kelele za fisi ndio wakenya waliamua....nilikuwa nawashangaa wakenya wenzangu wakilinganisha Kenya na LDC badala wakailinganishe na Africa kusini na Morocco.
 
Watanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios
punguza stress,,,,,hivyo unavyopost tulishaviona na tukavipa credit zake loong time we unakuja kurudia rudia mambo unadhani kuna mtu anakazi ya kudifia kitu kimoja kila siku..

leta vitu vipya kama vipo good tunavipa salute.....
 
Back
Top Bottom