ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hayo maendeleo tunayaona sisi kwa kipindi kifupi nahisi ni sawa na kenya miaka 30 hilo nikwambie wazi, wapo wakenya wenye akili wanaojua umuhimu wa magufuli,Kaka maendeleo yako, na ni obligation ya serikali kujenga miundo mbinu, mimi I can seperate propaganda from facts, one day try critical thinking before arguing, govts are even not supposed to campaign using what they are supposed to do(be it in Kenya or Tz), ni kama mzazi wako apige kifua eti kakuzaa kisha kakulisha na kukuvisha, hiyo ni kazi yake kwako, it is not a privilege it is an obligation! akishindwa ni makosa sana., what they are supposed kupigia kifua ni kama wametengeneza ama kuongeza uwekezaji, industries and job creation, kupunguza umasikini kwa kiwango cha juu n.k., haya mengine ni kazi yao na inawapasa kufanya.,
jubilee inaondoka madarakani keshokutwa ikiwaachia deni ambalo hamujawah kuliskia milele😂😂👇👇 9.2trillion ksh mutasugua gaga mpaka yesu ashuke
alaf muko hapa kuiponda tanzania kila jema linalofanywa ubaya wote ni CCM yani inaonesha munachuki na CCM😀😀😀

