Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hii uchungu yote ni ya niniSimba akiamua kuto jishughulisha na kelele za fisi ndio wakenya waliamua....nilikuwa nawashangaa wakenya wenzangu wakilinganisha Kenya na LDC badala wakailinganishe na Africa kusini na Morocco.
Ngoja tuanzie hapa kulinganisha kenya na SA au Morocco
tapatalk_1601416134025.jpeg
tapatalk_1600937154770.jpeg
tapatalk_1599415288159.jpeg
tapatalk_1600464021727.jpeg
tapatalk_1597787577144.jpeg
tapatalk_1598447845794.jpeg
 
Kenya wababaishaji sn na waongo mnoo, wana mi flyover yao stone age eti wanataka kulinganisha na modern flyovers za Tz, yn flyover 1 ya Tz unapata mi flyover 10 ya kenya asa c ubabaishaji huo hebu angalia huu uchafu (hawapendiiii )View attachment 1585786
Iyo ni ilmradi tu haiko standard kiukweli,watasema inasave purpose that's what really matter
 
Watanzania wenzangu, tuweni wazalendo kwa nchi yetu ila mazuri yao pia tuyaone na tuyakubali kama kweli wamefanya kazi sio kila kitu chao tunakiponda, wakati vizuri vyao vipo pia vingi na wakenya mupunguze kutudharau sasa coz hizo zama zilishaisha, wote tuweni waungwana✌🏿✊🏿
Kabla hujaniquote, niambie ni lini umepongeza kitu chochote kutoka Kenya. Wewe si ndio katibu wa ile kamati ya roho chafu??
 
Back
Top Bottom