game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
Yaaap, kwa kweli pale hapakuwa na namna, ila hii njia itahitaji maboresho sana, haijazingatia vitu vingi, vivuko pamoja na njia za watembea kwa miguu, Desigñer hakuwa makini na kazi yakeMbezi mwisho hadi final touch ilikua inafikia ukingoni,ila ndio kulikua na bonge la foleni kila siku iliyokua inasababishwa na jinsi kona ya goba kulivyodesigniwa,juzi wamefumua upyaa pale kona ya goba,nasikia kuna kitu kipya cha maana kinapandwa pale
So far pale Mbezi patakuwa complex sana ukiongeza na ile interchange ya kuingia na kutoka Stendi mpya ya Mbezi,
Amazing things..

