Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ndipo huwa naona uzembe wa viongozi wa tm zetu za mpira, hv tm km yanga kweli inashindwa kumiliki kauwanja ka mazoezi km haka? Kweli jamani? Wanaenda kufanya mazoezi kwenye uwanja wenye nyasi zilipauka kiasi kwamba mchezaji akidondoka tu kaumia.

Jana nimeona clip wachezaji wa yanga wakifanya mazoezi, nilikuwa namuangalia Kalinhos akiwa hana furaha japo inawezekana kutopangwa lkn kwa asilimia kubwa ni jinc uwanja ulivyo mbaya yn ni mbaya kweli kweli ni aibu aibu aibu, ukipambana uwape strategies za kutoka hapa tulipo wanaleta dharau wanataka mpk Kikwete ndo aseme wanasahau kwamba planner co mpk awe na PhD au awe mashuhuri.

Btw ngj nipambane cku niende pale ofisini jangwani nikawape proposal yng wakielewa sawa wasipoelewa ntapambana niipeleke simba nako ikishindikana basi.
 

tena sio mkopo 👇👇👇👏👏👏
C328F64B-6B40-4A6A-95AF-E393495B4410.jpeg
 
Back
Top Bottom