Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Survey ya kupima viwanja nchi nzima ya Lukuvi imeishia wapi?
Haya yote yanapaswa kuwekwa katika huo uzi na mengine yatajaziwa humo humo, pia ingekuwa vizuri huo uzi ukianzishwa tujitahidi kushare ktk platforms zingine ili usambae haraka iwezekanavyo.
 
Tanzania inazilisha nchi nyingi Africa

Uganda


Zambia
Screenshot_20200910-050043.png
 
Yaap,
The Mighty Salenda Bridge,
Flyovers Mwenge, Morocco, Ubalozi, Kamata, Magomeni, Tabata, Uhasibu
Countless road expansions and Pavements in Dar including Tegeta Bagamoyo with BRT
JNIA chanika With BRT etc
Modernization of Coco Beach, ili Dar tupate watalii kama wote, zile roads zinazounga Salenda bridge ziko kwenye final touches, nimepita jana,
Plus Dodoma Msalato International Airport and Stadium ya Kisasa Dodoma watu tuwe tunaenda na SGR Dom kucheki mechi na Kurudi Dar jioni hiyohiyo..
Mbezi mwisho hadi final touch ilikua inafikia ukingoni,ila ndio kulikua na bonge la foleni kila siku iliyokua inasababishwa na jinsi kona ya goba kulivyodesigniwa,juzi wamefumua upyaa pale kona ya goba,nasikia kuna kitu kipya cha maana kinapandwa pale
 
Mbezi mwisho hadi final touch ilikua inafikia ukingoni,ila ndio kulikua na bonge la foleni kila siku iliyokua inasababishwa na jinsi kona ya goba kulivyodesigniwa,juzi wamefumua upyaa pale kona ya goba,nasikia kuna kitu kipya cha maana kinapandwa pale
Sure pale palikuwa pamekaa vibaya. Wapandishe Flyover ya kishua
 
unatuletea uadui kwenye nchi ya amani iliobarikiwa 😂😂😂 Ccm itakutoa nyongo bure na bado watakubana mpaka gololi za kende zibutuke mbuzi wewe😃😃 unakuja kulia mbele ya wanaume wenzio unataka nn kama ni mchezo huo tumekatazwa mwiko
Ungemueleza mwenyekiti wako hayo manene ungekuwa umemsaidia sana,kwangu unapoteza mda,mkabila na mbaguzi si unamsikia kila siku sasa makelele na kujikesha kwangu nikusaidiaje? mimi naleta maneno ya mwenyekiti wenu yanayokinzana na ustaarabu wa kitanzania.Si huwa mnawaponda wakenya nyie kwamba wako kikabila na huyo mwenyekiti wenu je? Nitakuwa nawaletea updates za mwenyekiti wenu kadiri anavyobwabwaja
 
Mods Invisible Moderator n.k kuna watu wanaharibu huu uzi kwa kuchanganya na mambo ya siasa kana kwamba hakuna uzi wa siasa humu jamii forums, tunaomba mtutolee hawa watu co kwmb hatupendi challenge no ila ziwe zinazohusiana na mada husika na co km wanavyofanya hawa watu kuchanganya chuki binafsi tunaomba hawa watu watoke humu ndani hususan huyu anayejiita ChoiceVariable naomba mmuangalie kwa makini anaharibu huu uzi.
😂 😂 😂 😂 sindano hizo zimeanza kufanya kazi,mimi sili wala silishwi na jf ndugu ndio maana huwa natokea mara chache sana humu kuja kuwaweka sawa na kusawazisha upotoshaji wenu,hata nisipoingia humu kwa kunipiga ban hakuna hasara ntapata
 
Back
Top Bottom